Huwa wanaongeaga tu, siku tukiweza kuzifunga top teams hapo ndio naweza kusema tuko vizuri, kwa sasa tumetengeneza timu nzuri ila kuna maeneo bado kidogo.Aaron Arsenal uje utupe moyo nikikwambia punguza mahaba kuliko facts unanichamba come on bro njoo tufariji kwa maneno matamu
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Tupo pamoja broWewe ndo mshabiki wa arsenal pekee ambaye sio mnafiki. Nyeusi ni nyeusi toka nwanzo wa ligi mpaka mwisho japo washabiki wenzio HAWAKUELEWI.
Bro ERoni nakuelewaga sana so nataka wale fans wanipe utofauti wa this season na last season ni upi?last season tulipoteza away kwa old Trafford na leo tumepoteza old Trafford so kweli tunaweza kupata 3 points Etihad Anfield au Tottenham Hotspur ground this season?kwa defence hii?Huwa wanaongeaga tu, siku tukiweza kuzifunga top teams hapo ndio naweza kusema tuko vizuri, kwa sasa tumetengeneza timu nzuri ila kuna maeneo bado kidogo.
Mpira una matokeo matatuTunaongeaga sana tuzibwe mdomo sasa team bado hii sana haya leo vs Top 6 team for the first time EPL tumepigwa goal 3 hatuna team ya competition kabisa beki uchochoro bado Halaand nae copy kwa Aaron Arsenal mkorea @hamisi77 game kama hizi unatakiwa uonyeshe umwamba wako
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Niliposema mechi tano mlizoshinda zote ni dhidi ya vibonde nikatukanwa hapa na hapo mashabiki mandazi wasiojua dynamics za mpiraUnataka jibu lipi wakati results ni zile zile every season vs top 6 hata Wenger alikuwa anamiliki mpira na anafungwa so unataka nikujibu nini?game ya leo dunia nzima ilikuwa inasubiri kama kuna changes but hakuna changes so tuseme nini?tumezoea kutake L kwenye games za top 6 hasa away games sina la kukujibu
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Wewe unasemaga ukweli halafu plastic fans wanakuita mamlukiTop 6 imagine tunalose vs Rashford itakuwaje Vs Halaand Vs Salah Vs Kane Vs Auba? We need to win vs Top 6 teams but limeshindikana hili suala may be katika 10 games Vs Liverpool Manchester City Manchester United Chelsea Spurs may be may be we are going to win 2 out of 10 games
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
VIBONDE WENU MLIOWAFUNGA HAO HAPO, ANGALIA NA NAFASI WALIPO HIVI SASA NA MUACHE KUTEMBEZA MABAKULI, RATIBA IMEWAPA FAVOR TU MTANGULIE KUWASAFISHIA MABWANA ZENU NJIA
View attachment 2345892

Hii leo ni mechi ni ya 16 pale oldtranford, arsenal kashinda tu 1, droo 5, lost 10matokeo ndani ya miaka mitatu yakoje mkuu
Mimi computerarsenal hua namuelewa sana, huyu jamaa ni yule mtu anaependa kusema ukweli mchungu bila ya kupepesa macho, watu wa namna hii hua hawana unafki kabisa, ukiishi nae halafu ukizingua hua anakuface direct na anakuchana live kua hapo umezingua, sio wale wanaokuchekea halafu ukimpa mgongo tu anaanza kukusengenya kwa watu.Wewe ndo mshabiki wa arsenal pekee ambaye sio mnafiki. Nyeusi ni nyeusi toka nwanzo wa ligi mpaka mwisho japo washabiki wenzio HAWAKUELEWI.