Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 8,069
- 20,330
Mnatakiwa muijue nafasi yenu, sio mnaanza ligi na vitimu vya kijinga halafu mnavimba vichwa.
Wanaona aibu sasa hivi yaani wamepishana points 3 tu Man U.
Sasa hivi Hawana tena jeuri ya ubingwa tofauti ya points 3 dhidi ya Man U unasemaje unachukua ubingwa hizo timu za katikati vipi?
