Wahuni tayari wameshafungua njia, sasa hivi kila timu anayokutana nayo ni mwendo wa kunyanyua juu kamba ya bikini na kuchomeka ukuni.Nyie vibwego ligi ndio imeanza sasa
Nimekuelewa mkuu na tayari nimeshafuta comment yangu, nakuomba na wewe ufute hii comment uliyo niqoute.Sidhani kama ni sawa kuleta dhihaka ya imani namna hiyo
Sent from my SAMSUNG-SM-N910A using JamiiForums mobile app
Mkuu Lokonga leo kakosa uzoefu wa kucheza peke yake kama afanyavyo Partey hivyo alikuwa anajisahau kukaa kwenye eneo lake na ilihitaji mbinu sana kugundua na kupitisha mipira ndicho kitu kimefanywa na ETH.Niliandika hili msimu uliopita wakati Partey ameumia, na leo narudia tena.
Tuswitch kwenye 3 5 2, hatuna mid so tuovercrowd mid na watu wetu, I think hii ni more logical kuliko kumkabidhi mzigo Lokonga ghafla.
Anyway, hii mbinu ya united ya kupaki basi na kaunta inahitaji 3 5 2. Kocha ajifikirie zaidi.
Tuache masihara.Mkuu Lokonga leo kakosa uzoefu wa kucheza peke yake kama afanyavyo Partey hivyo alikuwa anajisahau kukaa kwenye eneo lake na ilihitaji mbinu sana kugundua na kupitisha mipira ndicho kitu kimefanywa na ETH.
Na Arteta alijitahidi kubadili mfumo kila alipoona mambo hayaendi sawa, alianza na 4231 badae akaja 433, akaja tena 442 na mwisho baada ya kupigwa goli la pili akajilipua na washambuliaji 5. Sasa je sokoni kukoje!!!??
NakaziaMimi kwa kweli huu msiba sikuja kuwapa pole wafiwa kwa sababu mna midomo sana, na marehemu alikuwa na mdomo sana kwa majirani zake hadi kero. Sasa nimekuja tu kumchamba marehemu hadi akome na huko kuzimu akawaaambie na wenzake kwamba huku duniani mdomo mbaya sana
Masaa 12 yamepita yule mzee wa Mahaba bila facts Aaron Arsenal hajacomment chochote hadi sasa tukisema mtu aongee kwa facts bila kuweka mahaba tunaonekana haters goli 2 za jana za Rashford zimetokea wapi?jibu analoTuache masihara.
Msimu uliopita Partey aliumia tukastruggle. Tumeanza msimu tukijua tunahitaji kiungo, Hatujasajili. Wanatokea mashabiki wanasema ni sawa kutosajili.
Leo pengo la mid limekua exposed mnooo nashindwa elewa hawa wenzetu msimu uliopita walikua wanaangalia mechi au hawakua wakiangalia
Subiri wakati wa usajili atakuja na tetesi zake uchwara, Aaron miaka 5 nipo Jf yeye nyakati kama hizi kuwa haonekani kuja kufanya uchambuzi kuna mwaka hadi watu walimuanzishia uzi wa kumtafuta maana alitoa imani na kutamba sana humu baadae mambo yakageuka vibaya nakumbuka ila final Europa mliyofungwa na Chelsea na kwa vile ilikua mwisho wa msimu jamaa alipotea sana akaacha jukwaa linashambuliwa mpk kulivyopoa na kufika muda wa tetesi ndio akaja kuendeleza uchambuzi wake.Nilimwambia Aaron Arsenal timu ikifungwa huwa anapotea humu akasema sio kweli sometimes ana mambo yake binafsi but let give him the time tuone kama atakuja
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kuondoka kwa deadwoods kwangu mimi ni bora zaidi
Game ya nyumbu hapo kesho kutwa, kwa upande wetu haina pressure kubwa. Coz atapigwa tu
Partey hachukui muda mrefu atarudi kikosin
Tutavutana hivyo hivyo, hadi January ndio tutajua mashimo gani tuyajazilizie
By the way, nipo pamoja na Edu & Arteta
Trust the process
#Coyg








Ndio ndioGranit Xhaka na Sambi wanatosha sana ku dominate katika eneo la middfield endapo Sambi ata maintain Kama mechi ya juzi.
Sioni Nyumbu akitoka kabisa..
Yule bladifakeni lazima afe pale pale kwenye matofali ya kuchoma.