Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Point 3 muhimu hizi zitatusogeza.

...kabisa mkuu, tatizo ni incoscistency zetu bana, aaah!
Baada ya Game utasikia maneno meengi ya matumaini as if ligi inaanza,
game ijayo presha tupu.

Anyway, "hamadi kibindoni." Game ya leo ilinipita nashtukia Full time tayari.
Together We Stand, kama kawaida.
 
tunaenda mechi kwa mechi sasa mkuu.

Hatustahili kupoteza mechi hata moja kuanzia sasa ili kuendelea kuwemo kwenye kinyang'anyiro hiki cha EPL, vinginevyo matumaini ya kuchukua angalau kombe moja msimu huu yatakuwa yamepotea kabisa.
 
...kabisa mkuu, tatizo ni incoscistency zetu bana, aaah!
Baada ya Game utasikia maneno meengi ya matumaini as if ligi inaanza,
game ijayo presha tupu.

Anyway, "hamadi kibindoni." Game ya leo ilinipita nashtukia Full time tayari.
Together We Stand, kama kawaida.


Tatizo wachezaji wetu wanapenda sana kuachiwa wafanye wanachotaka, wakikabwa kwa nguvu kidogo tu wana give up na kufungwa.

Wanahitaji kujua kwamba ubingwa hauji kilaini laini lazima wajitume mpaka dakika ya mwisho.
 
Hongereni kwa routine win....! Liverpool watawaachia mshinde tuu maana hawataki tuwapite.
 
at Blackpool ,leo tutazidi kuusogelea ubingwa karibu zaidi

Hongereni sana wakuu mmeusogelea vile mlivyopenda kudos .... .. khe khe kheeeeeeeeee

Hodi watani vilaza wa makombe...!
Leo mnatoka vipi kwa 'Pool?...mjue leo mkichezea kichapo au droo basi ndo kwaheri tena, mechi zilizobaki zitakuwa ni pre season games kama alivyobainisha AW.
Hahaha! thts a defenition ya SUCCESS!


Natumaini umeona jinsi tulivyotoka bado una machwali? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeee

tehe tehe where is my michele.. bila kumsahau wacha usipotee sana mkuu

Mkuu chichi sio kama peasant's we are here always ... .... come rain, come sunshine ni wewe kizwezwe unaonekana kwa msimu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee

Nahisi kaarufu kagoli la pili kwa blackpool

Khe khe kheeeeee fisi bana kazi yake kufuata mkono wa binadamu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee



Maskini mmekosa kabisa matumaini ya hata mechi za mchangani mnashangilia kwa wasiwasi mkubwa


Ushangiliaji wa wasiwasi ukoje mkuu? Khe khe kheeeeeeeeeeeeeee hebu tuwekee formula hapa khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Hongereni kwa routine win....! Liverpool watawaachia mshinde tuu maana hawataki tuwapite.

Si umeona hata leo Blackpool wametuachia si ndio fair play hiyo khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kama vile Fulham walivyowaachia nyinyi khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hongereni sana wakuu mmeusogelea vile mlivyopenda kudos .... .. khe khe kheeeeeeeeee




Natumaini umeona jinsi tulivyotoka bado una machwali? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeee



Mkuu chichi sio kama peasant's we are here always ... .... come rain, come sunshine ni wewe kizwezwe unaonekana kwa msimu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee



Khe khe kheeeeee fisi bana kazi yake kufuata mkono wa binadamu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeee






Ushangiliaji wa wasiwasi ukoje mkuu? Khe khe kheeeeeeeeeeeeeee hebu tuwekee formula hapa khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee




Si umeona hata leo Blackpool wametuachia si ndio fair play hiyo khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kama vile Fulham walivyowaachia nyinyi khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Welcome back Coward Wacha1, you gutless Fat Arse
 
HAHAHA... Kiss My ArseNal "Gooner For life NO MATTER WHAT" ...!!! alafu hawa totehamn H wameongea mnooo kuhusu gooners natamani mechi yao na yetu tuje tuwachape kama goli alizopigwa na madrid
 
Haya jana mmebebwa lakini watu mmekaa kimya... Anyway naona wamarekani wanaendeleza takeover ya timu za Uingereza tu.

Sky News suggest that Colorado-based Kroenke, who owns close to 30% of the North London club, is set to purchase the 16% shares of both Lady Nina Bracewell-Smith and Danny Fiszman. The BBC suggest that Kroenke will acquire 16.1% owned by Fiszman and 15.9% owned by Lady Nina for around £11,000 a share, to pay £225 million to take his share to 62%.

Crossing that threshold of 29.99% means that Kroenke, under UK takeover laws and just like the Glazer family did in taking over Manchester United in 2005 when they bought the near-10% owned by Irish tycoons John Magnier and JP McManus, must launch a formal bid for the rest of the shares in the club. Kroenke will be obliged to offer the market rate for the remaining shares.

Lady Nina's shares have been on sale for some time, while Fiszman's involvement in the club has been lessened by a fight against cancer. Fiszman was the driving force behind the club's move to the Emirates Stadium in 2007.

Kroenke owns multiple sports franchises in the United States, including the Colorado Rapids and the NBA's Denver Nuggets. Should the move take place, then he will have won his battle with Russo-Uzbek magnate Alisher Usmanov for eventual control of Arsenal.

Usmanov's move for the club, which began with his 14.58% purchase in August 2007, eventually rising to 25% in Feburaty 2009, has been stymied by a 'lock-down' agreement by the Gunners' board, whereby chairman Peter Hill-Wood announced that club directors could sell their stakes only to 'permitted persons' before April 2009 and had to give fellow board members 'first option' on shares until October 2012.

The American has been involved since buying 9.9% of the club in April 2007, and has been steadily increasing his stake since. He officially joined Arsenal's board of directors in September 2008.

The Arsenal Supporters' Trust (AST) have given a cautiously optimistic welcome to the news. A statement said: "AST thinks it is really important that supporters remain involved in Arsenal's ownership structure.
"Stan Kroenke has a good relationship with the AST and recently supported our fanshare scheme.

"We are hopeful of having discussions with him to discuss how our members and Arsenal supporters can keep their shares in Arsenal Football Club."
 
Eqlypz...
nyani haoni kundule...yaani apo tungekuwa se basi ingekuwa talk of the week.
 
Haya jana mmebebwa lakini watu mmekaa kimya... Anyway naona wamarekani wanaendeleza takeover ya timu za Uingereza tu.

Sky News suggest that Colorado-based Kroenke, who owns close to 30% of the North London club, is set to purchase the 16% shares of both Lady Nina Bracewell-Smith and Danny Fiszman. The BBC suggest that Kroenke will acquire 16.1% owned by Fiszman and 15.9% owned by Lady Nina for around £11,000 a share, to pay £225 million to take his share to 62%.

Crossing that threshold of 29.99% means that Kroenke, under UK takeover laws and just like the Glazer family did in taking over Manchester United in 2005 when they bought the near-10% owned by Irish tycoons John Magnier and JP McManus, must launch a formal bid for the rest of the shares in the club. Kroenke will be obliged to offer the market rate for the remaining shares.

Lady Nina's shares have been on sale for some time, while Fiszman's involvement in the club has been lessened by a fight against cancer. Fiszman was the driving force behind the club's move to the Emirates Stadium in 2007.

Kroenke owns multiple sports franchises in the United States, including the Colorado Rapids and the NBA's Denver Nuggets. Should the move take place, then he will have won his battle with Russo-Uzbek magnate Alisher Usmanov for eventual control of Arsenal.

Usmanov's move for the club, which began with his 14.58% purchase in August 2007, eventually rising to 25% in Feburaty 2009, has been stymied by a 'lock-down' agreement by the Gunners' board, whereby chairman Peter Hill-Wood announced that club directors could sell their stakes only to 'permitted persons' before April 2009 and had to give fellow board members 'first option' on shares until October 2012.

The American has been involved since buying 9.9% of the club in April 2007, and has been steadily increasing his stake since. He officially joined Arsenal's board of directors in September 2008.

The Arsenal Supporters' Trust (AST) have given a cautiously optimistic welcome to the news. A statement said: "AST thinks it is really important that supporters remain involved in Arsenal's ownership structure.
"Stan Kroenke has a good relationship with the AST and recently supported our fanshare scheme.

"We are hopeful of having discussions with him to discuss how our members and Arsenal supporters can keep their shares in Arsenal Football Club."



Sugar daddy is coming!
 
Arsernal fans never give up they are going 2be the best soon all fans just keep on it
 
...................................................
unlike the glazers, kroenke is not buying the club through loans that are tied to the the holding company (ie First Allied Corporation who own man united and are making them suffer all of their business debt), he actually has money..also unlike the glazers who have a poorly run property empire and the bucks football franchise, kroenke actually has 'liquid' capital along with a vast portfolio of businesses that are profitable (debt free).....and again unlike the glazers he owns them outright not through high interest payments paid to banks

but i dont expect anywhere near the same amount of money being available like chelsea and city
 
Hahahahahaha, hypocrisy of the highest order from Arsenal Chairman....filthy club, filthy leaders!


So, just what changed Peter Hill-Wood's mind...?

On Stan Kroenke (2007)
'Why don't we want the American at our club? Call me old-fashioned, but we don't need his money and we don't want his sort. Our objective is keep Arsenal English, albeit with a lot of foreign players.

'Americans are buying up chunks of the Premiership football clubs and not because of their love of football but because they see an opportunity to make money.

'They know absolutely sweet FA about our football and we don't want these type of people involved.'

On Kroenke (2011)
'Mr Kroenke has shown himself a man who values and respects history and traditions of this very special club we cherish.'


Read more: Stan Kroenke targets Arsenal glory after seizing power at the Emirates | Mail Online
 
Baada ya kuona no vikombe after Seven yrs na bila kuwa na mpunga wa maana mambo hayaendi na hofu ya nafasi yao (Fourth) iko hatarini kuchukuliwa na Man City mwakani,naona hatimaye washika magobole wamekubali yaishe.Huenda venga akapewa fungu afanye usajili mnono aachane na falsafa yake ya vikinda.

Khe khe khe kheeeeeeeeeeeee labda hufahamu what is happening at Arsenal .. .... .... .... .. tembelea New era at the Emirates {kidogo utafungua macho} hapa kwenye jamvi utaelewa zaidi, Stan had been there from 2007 na ndiye majority share holder hata kabla ya haya mabadiliko yanayotarajiwa, vile vile hanunui shares kwa makaratasi kama tulivyoona kwa Glazers, {madeni kama utitiri} its hard cash according to the value of the club at the moment wala sio kama Abraham O vich aliyeibuka kama uyoga kwa Chelsick. That follows the serious illness of Fiszman and the shares held by Nina. The move had been planned for a long time and executed with the agreement of all who matter at Arsenal.

https://www.jamiiforums.com/sports-...l-new-era-at-the-emirates-28.html#post1839384
 
Kazi ipo jumapili wadau wenzangu..coz hao liver nimewacheki leo wanatisha. #arsenal
 
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeee labda hufahamu what is happening at Arsenal .. .... .... .... .. tembelea New era at the Emirates {kidogo utafungua macho} hapa kwenye jamvi utaelewa zaidi, Stan had been there from 2007 na ndiye majority share holder hata kabla ya haya mabadiliko yanayotarajiwa, vile vile hanunui shares kwa makaratasi kama tulivyoona kwa Glazers, {madeni kama utitiri} its hard cash according to the value of the club at the moment wala sio kama Abraham O vich aliyeibuka kama uyoga kwa Chelsick. That follows the serious illness of Fiszman and the shares held by Nina. The move had been planned for a long time and executed with the agreement of all who matter at Arsenal.

https://www.jamiiforums.com/sports-...l-new-era-at-the-emirates-28.html#post1839384

so hakuna jipya basi, mmejivua gamba tu
 
Back
Top Bottom