Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

am back mai pipo am back the gunners oyeee! Ushnd we2 kama kawa mai pipo nimerud tena MICHELLE, ARSENE WENGER NA WENGNE WENG VP 2PO PAMOJAA Liverpoll le6 hawik leo pamoja lakn
 
Huyu mpMpoki (Eboue) huwa hapangwi koz hajui au koz yeye sio mfaransa....Diaby nae naona kaimprove sana.....
 
50336_21580214340_1662259_n.jpg
...the foto will remind you "not to count your chicks before they hatch!"
Ahaaa,husband wao au sio!
 
....e bana weee, umetukamia namna hii asb asb yote hii?
au kipigo cha jana hukulala wewe? hebu nenda kanisani bana, misa inakupita LOL!

Anashangaza sana huyo jamaa(Mfarisayo)..........Sijui anafanya nini kwenye Arsenal Special thread ilhali hataki siye tuchangie kwenye jukwaa lao la Man Utd........

Ama kweli kufungwa kubaya sana........
 
Jamaa wanapiga buti ile mbaya. Eboue anaongeza sana uhai katika safu ya mashambulizi.
 
RVP anapoteza chance ambazo zinaweza kuzaa goli..... Kifupi hakuna formation ya kupata goli.... Tunacheza tu mpira..... Draw nayo ni hasara kwetu........
 
RVP anapoteza chance ambazo zinaweza kuzaa goli..... Kifupi hakuna formation ya kupata goli.... Tunacheza tu mpira..... Draw nayo ni hasara kwetu........


Miye Mkuu naona kuna goli kama mbili, lakini inabidi watulie wanapoingia ndani ya 18.
 
RVP anapoteza chance ambazo zinaweza kuzaa goli..... Kifupi hakuna formation ya kupata goli.... Tunacheza tu mpira..... Draw nayo ni hasara kwetu........
 
Tunapenda sana kutaka kufunga magoli kwa style .kama tungekuwa tunajaribu mashuti tungekuwa mbali sana saa hizi.


Half time hamna kitu bado tunatatafuta goli letu la kutembea na mpira ndani ya nyavu
 
...wetu hawa, muda tu haujaruhusu.


Hata mimi nadhani hivyo ila yule Eboue asitolewe maana kuwepo kwake kunaongeza uhai mkubwa katika safu ya mashambulizi.
 
Anashangaza sana huyo jamaa(Mfarisayo)..........Sijui anafanya nini kwenye Arsenal Special thread ilhali hataki siye tuchangie kwenye jukwaa lao la Man Utd........

Ama kweli kufungwa kubaya sana........

observing
 
Hakuna sababu ya kupoteza a straight dominated game kama hii.... RVP hakuna makali kabisa pale mbele... Kati kati Diaby and the Co wanajitahidi sana.... nyuma ukuta umesimama imara.... Pale mbele ndo panatuangusha hatuna a great finisher...... Annggrrrrrr!!!!!!!!
 
Tunapenda sana kutaka kufunga magoli kwa style .kama tungekuwa tunajaribu mashuti tungekuwa mbali sana saa hizi.


Half time hamna kitu bado tunatatafuta goli letu la kutembea na mpira ndani ya nyavu

heshima yako mkuu...pale mbele naona tunahitaji double striker..gemu bado 2naweza kushinda..2medominate mchezo.
 
Back
Top Bottom