Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Lucky Fat Arses! Refa naona leo anawabeba, hiyo foul ya Koscielny ndani ya penalty box amepeta, clear penalty....na hilo goli la Blackpool angeweza kutoa penalty ya red card kwa Lehman, ina maana mngecheza na watu 10 na mchezaji wa ndani angekuwa kipa maana hamna kipa kwenye benchi lenu.... again, lucky Arses!
 
Wakulu mpo,

Najaribu kuingia online hapa Benghazi.

Watu wanasema Arsenal wana "easy run-in" kutafuta ubingwa lakini bado tuna game ngumu sana.



Tuna game nyumbani na Liverpool halafu Tottenham tena kwao.

Mkuu Wenger hii imekaaje?

Mkuu kwanza siku nyingi? Safi sana kujumuika nasi leo.

Hali ni ngumu na sina matumaini tena hata kabla ya hizo mechi ulizotaja hapo juu kutokana na matokeo yetu mabovu ya mechi tatu zilizo pita.

Hapa leo namuomba mungu tu.
 
Van Persiiiiiiiiiiii 3-1 sasa naweza kuangalia bila ya wasiwasi LOL!
 
Hawa Blackpool nao bure kabisa, wanashindwaje kupiga mashuti wakati golini kwa Arsenal kuna kibabu kimejichokea?!
 
Maskini mmekosa kabisa matumaini ya hata mechi za mchangani mnashangilia kwa wasiwasi mkubwa



Si unaona hata Coward Wacha ameingia mitini, he can't handle the heat....hahahahaha. For ****'s sake, Coward! It's just Blackpool !!.... khe khe kheeeeeeeeeeeeeee!!
 
Sasa wamebakia Liverpool kuna kazi kwelikweli.

Bado nafasi ipo ila ni lazima Arsenal ishinde mechi zote zilizobakia.
 
Mechi ya kiporo na Tottenham ni muhimu sana kwa Arsenal kushinda.
 
Back
Top Bottom