Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Tunasikitisha sana hizi dakika za mwanzo
Huyu diaby kapataje namba leo?
all in all B'Pool ndo wamedominate game....ila kwetu sisi kama kawaDiaby anagawa maboko kama sio professional...
maboko Diaby kascore.......1-0.....
Nafasi nyingine ya wazi,tutakuja kujuta
Tunalemba sana
Mimi ntangoja mpaka dakika 93 ziishe.
Arsenal wanaitwa unpredictable".
Hawa Blackpool chini ya uangalizi wa mzee Ferguson wanaweza kukandamiza jitihada zote.