SirAF
Member
- Mar 24, 2011
- 51
- 4
Inasikitisha sana, bye bye kikombeeee.
Poleni sana
Inasikitisha sana, bye bye kikombeeee.
Vp gunners!!..naona imekuwa suluhu mechi!
Si unajua chichi huwa hatubebwi kama nyie, tunashinda kihalali usijali sana matokeo ya leo point moja kibindoni si haba. Its gona be all the way to the wire.
Si unajua chichi huwa hatubebwi kama nyie, tunashinda kihalali usijali sana matokeo ya leo point moja kibindoni si haba. Its gona be all the way to the wire.
Poleni wenzangu....:bored::bored::bored:
VIVA ARSENAL
Timu yangu inatakiwa ishinde mechi zote zilizobakia kati ya wiki ijayo na May 1st.Season ya Man united sijui kama Ferguson atwaachia vijana wake wa drop points kizembe zembe kama Wenger anavyowaachia vijana wake, sana sana wakati huu April.
Timu yangu inatakiwa ishinde mechi zote zilizobakia kati ya wiki ijayo na May 1st.
kwa mchezo huu, hata kukaribia hapo ktk red ni ngumu! B'burn is a weak team....n' at emarates its a loss....big big loss
Washabiki wetu wanaokwenda emirates nao kutoshangilia mpaka mwisho inachangia kuwapoozesha wachezaji pia.
Uwanja uko kimyaa, timu zingine wanashangilia mpaka dakika mwisho hata matokeo yawe vipi.
gunners msimu bai bai, mie sasa hata kuangalia mechi za arsenal siangalii maana kila siku stress.
"You can't say we will build something and spend three, four or five years waiting for trophies." - Rafa Benitez