Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Look away now huyu Almunia kachukua mpunga kwa mafioso ...... ....
 
Almunia Sijui ana Daka Panzi???????????????? KERO sana huyu Golie......
 
Duh Salgado bado anacheza tu...!! Jamaa amefanana na Mendieta.
 
Wachezaji wetu wako relaxed sana, sijui hawajui kwamba wanatakiwa kushinda mechi zote zilizo baki kuwa mabingwa.

Hawana pressure kabisa, hawaoneshi uchu wa ushindi.
 
Walcott vipi sasa, kachukua vizuri baada ya kupata nafasi ya kuingia nayo zaidi kidogo anaenda kuharakisha kupiga shuti.
 
...almunia akiuza na hii mechi, ndio utakuwa mwisho wake.
 
Bado hatujawa Serious Kuwin Hii game....................
 
Ngoja tuone lala salama .... .... .... lakini lazima ushindi, we can not afford not to win.
 
Kadri hii mechi inavyoendelea kuwa 0 - 0 ndivyo confidence ya Blackburn inapanda and that is not good for Arsenal.
 
Fabregas aje kuanza kipindi cha pili lakini kama Wenger ataendelea kukaa tu kusubiri dakika za mwisho basi leo pia tunaondoka patupu hapa.

Noma sana .
 
Lol huyu commentator anasema angekuwa Almunia amefanya blunder ya Robinson basi lingekuwa goli.
 
Chamakh nae haje sasa kujaribu goli la kichwa naona kama kwenye box pale Rovers wanajitesea mipira yote ya juu.
 
Gunner Boys mbona mnachelewesha vijana watawatoa nishai

Nilikuwa namuangalia Morinho akila kichapo chc kwanza home toka 2002 toka kwa watoto Sporting Gijon
 
Back
Top Bottom