Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

dah! lakini mkuu gonners tunakosa kitu kimoja! leadership !!! namkumbuka sana Veira he was a true camptain!.., wenger imefika kipindi aachane na vitoto anunue hata wachezaji wa 2 experienced .. am sure akidumbukia seria A au ligue ya portugal kule atapata wachezaji wa maana! arsenal sasa tukiwakosa , RVP, febragas, nasri, sagna .. we are done!!

Salama ya Arsenal n kuondoka Wenger, he is not a tactician, same pattern of football for every team, ndio maana imekuwa team rahisi sana kucheza nayo.

He needs to go, wachezaji ni wazuri sana ila wamekosa mwalimu mwenye ujuzi wa football.
 
lets the arsenal get rid of wenger bse he fits being an academician rather being a proffesional coach. otherwise the troph draught will keep drainin on us
 
Arsenal boss Arsene Wenger: "It was a game where we need to show lots of character and resilience in a football match which was played on a rugby pitch. It was more about character than football today. It was attack against defence for 90 minutes and in the last 10 minutes it was us who were close to winning the game. We made a massive mistake on the second goal and you cannot afford to do that. But we have shown we are ready to fight."


Wenye wivu wanaonekana wapo nafasi ya chini zaidi ya Arsenal na hawajui watatokaje huko chichi tunafahamu fika jinsi ya kuwapita manure .. ... ... .... .. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Hivi unakumbuka hawa jamaa walichukua point zote 3 kwenye uwanja mzuri wa Emirates
 
Unaonekana upo kama media ya UK sasa ambao hawakubali kwamba Arsenal wamekuwa transformed under Wenger hata alipofanikiwa bado wanasema wachezaji wale aliwakuta na akitaka mafanikio zaidi lazima anunue wachezaji wa England bila hivyo asifanikiwe kwa udi na uvumba
lakini yule jamaa wa Spurs hata akipoteza ni bahati mbaya au Loserfools wakipoteza haikuwa siku yao. Chelsick ambao chini ya Abraham O Vich wamenunua media yote ya UK na pundits wa sports ndio uchicheme kabisa. Ukiangalia table ni timu ngapi zingependa kuwa in our position. Ukiondoa wachezaji uliowataja hapo juu kila timu kama inakosa mastaa wake 4 au 5 haitakuwa katika hali nzuri. Huyo Viera mbona hata wakati wake kuna mechi tulipoteza soma comment za Wenger kuhusu hilo .... ..... .... ..... ..... https://www.jamiiforums.com/sports-...56188-arsenal-new-era-at-the-emirates-24.html

BTW tulipowafunga Chelsick hamkusema hawana leadership! Phew!


"The goalkeeper is the jewel in the crown and getting at him should be almost impossible. It's the biggest sin in football to make him do any work."

as1.gif
George Graham quotes

Zama za kina George Graham zilipitwa na wakati. Arsenal ni team pekee kwenye EPL ambayo hutochoka kuangalia kwa dakika zote 90. I don't mind lini tutakwapua kikombe, All i believe is, in Arsene Wenger nothing is impossible.

Arsene ni Tactician, ndio maana team ishatumia mifumo ya 4-4-2, 4-5-1, 4-3-3, na hata 4-2-3-1 kutokana na opposing team, na injuries tunazokuwa nazo mara kwa mara. Arsenal Academy ni chini ya uangalizi wa the Gaffer haina mfano Uingereza. Kidogo unaweza linganisha naAjax au Barcelona Academies.


Watu wengi hawakumbuki, mafanikio ya team kama Chelsea, Man City na kidogo Man United yanatokana na Oil Rich -"Sugar daddies", ambao hawaoni shida kuspend £50m kwa misfiring player kama Tor-Res!
Arsenal tunatumia hazina yetu, ambayo ni Academy.
Mnyonge mnyongeni, lakini Arsene Wenger ni manager wa kuigwa!
 
Hivi unakumbuka hawa jamaa walichukua point zote 3 kwenye uwanja mzuri wa Emirates

...due to our quick passing flowing football, rugby pitch affects the match outcome.
Ya Emirates yaachie Emirates bana, au hukuona zile comebacks?
 
MBU hebu niambie hiyo Academy ya Arsenal imetoa wachezaji gani?
 
...due to our quick passing flowing football, rugby pitch affects the match outcome.
Ya Emirates yaachie Emirates bana, au hukuona zile comebacks?
Namshangaa Wenger anasema uwanja wa West Brom ni kama uwanja Rugby
 
Mzee wa Khe khe kheeee sijui ana maoni gani ? namwonea huruma kweli najua hakosi visingizio.
 
Mzee wa Khe khe kheeee sijui ana maoni gani ? namwonea huruma kweli najua hakosi visingizio.

Mhhhhhhhhhhhhh!

Duh mechi ya jana Man ilicheza hovyo kuliko maelezo tulishinda kwa bahati hasa ukizingatia tulikuwa 10.

Chacha njomba wewe kisingizio chako ni kipi? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Unaonekana upo kama media ya UK sasa ambao hawakubali kwamba Arsenal wamekuwa transformed under Wenger hata alipofanikiwa bado wanasema wachezaji wale aliwakuta na akitaka mafanikio zaidi lazima anunue wachezaji wa England bila hivyo asifanikiwe kwa udi na uvumba
lakini yule jamaa wa Spurs hata akipoteza ni bahati mbaya au Loserfools wakipoteza haikuwa siku yao. Chelsick ambao chini ya Abraham O Vich wamenunua media yote ya UK na pundits wa sports ndio uchicheme kabisa. Ukiangalia table ni timu ngapi zingependa kuwa in our position. Ukiondoa wachezaji uliowataja hapo juu kila timu kama inakosa mastaa wake 4 au 5 haitakuwa katika hali nzuri. Huyo Viera mbona hata wakati wake kuna mechi tulipoteza soma comment za Wenger kuhusu hilo .... ..... .... ..... ..... https://www.jamiiforums.com/sports-...56188-arsenal-new-era-at-the-emirates-24.html

BTW tulipowafunga Chelsick hamkusema hawana leadership! Phew!

OK that's so true, I can feel ya brah! but still as a gooner i think "WE" Gunners undoubtedly have great ability but there's no mental strength or leadership. i think Fabregas is a great player but he's not a leader and I don't think he ever will be. When things are going wrong it's the leaders who come to the fore and Arsenal don't have any nimekwambia about veira coz ulikuwa ukimuona anavyo shout kuwapanga wachezaji mambo yanapokwenda mrama, thiery henry same thing! febragas ni mpole seldom huwa namuona akishout , Kumbuka ile game na newcastle.. tunaongoza goli nne kaka... na zikarudi zooote!!! kwa hii game tulio draw na west Bro.. siwezi nikalaumu we had injuries like djourou, fabregas, walcott, song, vermaelen, szczesny, fabianski..
 
we khekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee a.k.a wacha si uwapishe na wenzio umeshapiga paper III Inatosha
rh4hz0ja2bn1
 
avatar275_5.gif


Maskini kijana mdogo utadhani babu wa loliondo hii yote kwa sababu ya mawazo na kupenda vitu vibovu(Arsenal)
 
after international break arsenal tutatisha, kwani vijana majeruhi wengi watarudi uwanjani.
 
Kwa nini Wenger anapata pesa zote hizi kwa mwaka na hakuna vikombe kwa misimu karibu sita mfululizo?

Name........................Club.............................Annual Salary
Arsene Wenger...........Arsenal..........................£6 million
Alex McLeish..............Birmingham....................£2 million
Carlo Ancelotti............Chelsea.........................£6 million
David Moyes..............Everton..........................£3 million
Roberto Mancini..........Manchester City...............£3 million
Alex Ferguson.............Manchester United............£3 million
Alan Pardew...............Newcastle.......................£500k
Avram Grant..............West Ham.......................£1.3 million
Fabio Capello..............Engand...........................£6 million
 
Kwa nini Wenger anapata pesa zote hizi kwa mwaka na hakuna vikombe kwa misimu karibu sita mfululizo?

Name........................Club.............................Annual Salary
Arsene Wenger...........Arsenal..........................£6 million
Alex McLeish..............Birmingham....................£2 million
Carlo Ancelotti............Chelsea.........................£6 million
David Moyes..............Everton..........................£3 million
Roberto Mancini..........Manchester City...............£3 million
Alex Ferguson.............Manchester United............£3 million
Alan Pardew...............Newcastle.......................£500k
Avram Grant..............West Ham.......................£1.3 million
Fabio Capello..............Engand...........................£6 million



In Whinger you trust! Khe khe kheeeeeeeeeeeeeee!!!!
 
Kwa nini Wenger anapata pesa zote hizi kwa mwaka na hakuna vikombe kwa misimu karibu sita mfululizo?

Name........................Club.............................Annual Salary
Arsene Wenger...........Arsenal..........................£6 million
Alex McLeish..............Birmingham....................£2 million
Carlo Ancelotti............Chelsea.........................£6 million
David Moyes..............Everton..........................£3 million
Roberto Mancini..........Manchester City...............£3 million
Alex Ferguson.............Manchester United............£3 million
Alan Pardew...............Newcastle.......................£500k
Avram Grant..............West Ham.......................£1.3 million
Fabio Capello..............Engand...........................£6 million


Timu nyingi zingependa Arsene awe manager wao, analipwa hivyo kutokana na kazi anayofanya na ukiangalia kwa undani timu zote kubwa zina husda na jinsi alivyofanikiwa kuweza kutoka Highbury na kuwa Emirates ambako mafanikio ya vikombe yataanza mwaka huu na EPL. What a way to start! Well wapinzani wetu hawataki kuliona hilo lakini ni ukweli usiojificha. Tangu Jan timu imekuwa ikicheza kila baada ya siku 2/3 kutokana na kushiriki kwenye mashindano yote. Hivi sasa wachezaji wengi watakuwa fresh na utaona moto utakavyolipuka baada ya wiki mbili.

In Wenger we trust.
 
Timu nyingi zingependa Arsene awe manager wao, analipwa hivyo kutokana na kazi anayofanya na ukiangalia kwa undani timu zote kubwa zina husda na jinsi alivyofanikiwa kuweza kutoka Highbury na kuwa Emirates ambako mafanikio ya vikombe yataanza mwaka huu na EPL. What a way to start! Well wapinzani wetu hawataki kuliona hilo lakini ni ukweli usiojificha. Tangu Jan timu imekuwa ikicheza kila baada ya siku 2/3 kutokana na kushiriki kwenye mashindano yote. Hivi sasa wachezaji wengi watakuwa fresh na utaona moto utakavyolipuka baada ya wiki mbili.

In Wenger we trust.

Srepa points
 
Back
Top Bottom