Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kumbe matatizo mnayajua halafu kila siku mnasingizia timu nyingine zinabebwa
 
Unaenda Loliondo kupata kikombe? Maana season ikishafikaga miezi hii pressure nje nje.

...bana weee!...ile dawa ni kiboko bana,...leo ni siku ya tano, two more days to go zitimie saba ndio nione matunda yake kamili.
Kuna mtu aliletwa na machela, baada ya kunywa funda mbili tatu kanyanyuka bana na kukaa kitako...
Baada ya siku saba si ajabu nikamkuta Mango Garden akisakata twanga pepeta!
Otherwise? mko Ok hapa kijiweni?
 
Arsenal: TOGETHER WE STAND............I Love you Arsenal.......Forever and for always
 
Kumbe matatizo mnayajua halafu kila siku mnasingizia timu nyingine zinabebwa

Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeee bila kubebwa na mbeleko mwaka huu mngekuwa msata khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Ng'wanza,

Mbona unataka kuleta ugomvi? Profwesa Maji Marefu tumemnunulia tikiti aende Loliondo, kina Mbu, Wacha, Wenge, GT na baniani kiatu yake mbaya wanadai Al Muntazir ni kipa wa Dunia!

Rev. karibu sana bora umerejea ingawa tulifunga dirisha, usikimbie tu tena tunapokwenda kwenye lala salama maana hiyo ndio tabia ya mafioso wote hata peasant walikimbia walipoona mambo sio mswano kwa vijana wa Emirates ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee Chacha njomba usisahau kuwaita Mungiki brother, Invisible, na Elnino kwenye maombi ya matanga kwenye Daraja la Makuti vile vile mpe salamu muuza unga nasikia ati wamemualika akawafundisha masters wa England kubwia unga khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeee

we khekheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee a.k.a wacha si uwapishe na wenzio umeshapiga paper III Inatosha
rh4hz0ja2bn1

Hivi vidonge ninavyowapa nafahamu vinafanya kazi ndio chababu mnafurukuta khe khe khe kheeeeeeeeeeeee nitaongeza dozi wakati wa lala salama ... ...... .. khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee

Yep,it is all about arsenal.

Wanajua bila hivyo hawalali ndio timu kubwa ambayo wasiposema habari zake wamechacha khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mpunga wote ukitaka ni sharti uiandike Arsenal watakoma ubishi khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Arsenal: TOGETHER WE STAND............I Love you Arsenal.......Forever and for always

umesahau kusema with your all live you can love ARSENAL PAMOJA DAIMA KAMA VODACOM BAALAA

ARSENAL FOR LIFE...
 
Huyu nae wamwache aende zake Barca,not quality leader.Habalasishi timu uwajanjani.
 
Nimepita kuwasabahi watani...salama?, nimewamiss sana...naona weekend mbali eti tuanze mambo yetu yaleeee!
Siku zimeganda kwangu.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Nimepita kuwasabahi watani...salama?, nimewamiss sana...naona weekend mbali eti tuanze mambo yetu yaleeee!
Siku zimeganda kwangu.

...shwari bana, international break imekuwa ndeeeeeeeeeefu. Hapa naangalia Ghana Vs England "B," wa-
Africa tushalala kimoja dakika inaelekea ya 89 sasa. Aaaargghhh!
 
.....ASAMOAH GYAN!!!!!!!! Dakika ya 90 anatufuta machozi wabantu , pheeeeeeeeeww...afadhali, maana kesho english media wangetupaka kishenzi!

Ghana 1 - 1 England. FT.
 
Nilimaanisha haibalance timu kunako pitch.HAONGEI....
Akiongea pale uwanjani utasikia? Au unataka apigane ngumi? Ni mchezaji mzuri sana, anjituma, anacheza kusaka ushindi, anafunga magoli na anasaidia kupatikana mengine, tatizo ni kuchezeshwa hata pale anapokuwa hajapona sawasawa, pia sidhani kama alifaa kuwa captain wa timu.
 
Akiongea pale uwanjani utasikia? Au unataka apigane ngumi? Ni mchezaji mzuri sana, anjituma, anacheza kusaka ushindi, anafunga magoli na anasaidia kupatikana mengine, tatizo ni kuchezeshwa hata pale anapokuwa hajapona sawasawa, pia sidhani kama alifaa kuwa captain wa timu.

Nadhani sasa umenifahamu,nilimaanisha akiwa ka skipper lazima ahamasishe timu mkuu wangu.Vinginevyo awe mcheza wa kawaida.Hakuna swali kuhusu uwezo ila commitment kwny timu km nahodha.Oooh mara ataka kurudi Barca mara oohh........
 
Salam wakuu wote wa gunners na wengine. Noan wiki mbili zilikuwa kama mwezi lol. N i vizuri lakini imetusaidia wengine kurecover na sasa tuko tayari kumalizia mechi zilizobaki kwa nguvu zote.
gun__1297065463_newcastle05022011_4.jpg

Wanajeshi wamerudi wa kutosha na wako tayari kumalizia safari ilionzia Anfield tarehe 15-08-2010.

Kila la kheri wakuu wa gunners.
 
Usipige kelele wapinzani watasikia kwamba vijana wamerudi, Wacha waendelee na rumours ambazo zimeshamiri kule Old Trafford wakati Daraja la makuti (cowshed)limeingiliwa na bundi.
 
Salam wakuu wote wa gunners na wengine. Noan wiki mbili zilikuwa kama mwezi lol. N i vizuri lakini imetusaidia wengine kurecover na sasa tuko tayari kumalizia mechi zilizobaki kwa nguvu zote.
Wanajeshi wamerudi wa kutosha na wako tayari kumalizia safari ilionzia Anfield tarehe 15-08-2010.

Kila la kheri wakuu wa gunners.



Vipi mjeshi Almunia nae karudi?
 
Back
Top Bottom