Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 699
Golini anakaa Almunia au? Mjomba nishakuzoea weye kabla hatujacheza na nyie OT ulisema hivyo hivyo, mechi ya FA nayo ulipiga yengele nyiiingi tukawatundika 2. Sasa kutokana na analogy yako hapo kwenye blue ni kuwa tutashinda mkijitahidi sana mtaambulia draw sio? Maana tushawafunga mara mbili msimu huu.WBA walitufunga Emirates kwa hiyo mechi ya leo ilikuwa ni ngumu kwa wachezaji wetu ukitilia maanani wakati walitufunga Emirates ni huyu huyu Almunia ndio alikuwa golini. Wenger alitaka ajirekebishe lakini naona Mafioso walimuwahi, hata hivyo vijana waliongeza nguvu na kurudisha magoli mawili chacha njomba hapo hutaki tujipongeze bali tulalamike. One point ni nzuri kwa sababu mechi yenu na chichi Emirates ni lazima tushinde mtake msitake muulize Fungie inalijua hilo. Au muulize peasant walichokiona kilichomtoa kanga manyoya. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Golini anakaa Almunia au? Mjomba nishakuzoea weye kabla hatujacheza na nyie OT ulisema hivyo hivyo, mechi ya FA nayo ulipiga yengele nyiiingi tukawatundika 2. Sasa kutokana na analogy yako hapo kwenye blue ni kuwa tutashinda mkijitahidi sana mtaambulia draw sio? Maana tushawafunga mara mbili msimu huu.
</p>Ameridhika na kutofungwa tangu mwaka huu uanze, that's a big achievement for him, not a trophy. Hii ndio tofauti kubwa ya Arsenal (kuanzia kocha , wachezaji mpaka washabiki,), wakati sisi tuna ambition za vikombe wao wana ambition za kutofungwa na Chelsea na Man United na kutofungwa tangu mwaka mpya regardless wanakusanya point ngapi in the process.
</p>Jamani pangeni folen acheni fujo! We Wacha1 usiwapite wenzio wamekuja kitambo, michelle ingia mstarini usisimame pembeni.</p>
<p><img src="http://www.mwananchi.co.tz/images/stories/mch%20mwaisapile.jpg" border="0" alt="" />
<p></p>
<p> </p>
Hahahahaha! acha vurugu Mfarisayo. Ila huyu Wacha boy hii ni mara ya tatu namwona anapanga foleni, asije akajiovadozi, anadhani hii juicy ya Ukwaju?..Baba Mwaisapile kamata hii mutu piga fimbo!!!?
...:smash::smash::smash:...!!!
How does that count when we have a match with you? And also one game in hand? Vipi mkuu ulikimbia umande nini? ... ... .... .... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Thats what makes todays point very important to us.
Almunia for England, FACT....bundi karudi nyumbani kwake Emirates rasmi, FACT....SIX YEARS AND COUNTING, FACT....NEW TROPHYLESS ERA AT EMIRATES, FACT.
Those are the FACTS, muulize Rafa Benitez the Spanish Waiter ukitaka details.
Mhhhh.....Jirani kweli umeamua kurudi kwa ari,kasi na nguvu mpya,maana wiki mbili kama si tatu nyuma ulikuwa mpoleee......
Kwani kabla Roman hajaichukua Chelsea kutoka kwa mzee Ken ulikuwa unashabikia timu ipi kwenye EPL???.....Maana kama ulikuwa ni Chelsea nitakushangaa kuishikia bango Arsenal iliyokosa title for 6 years ilhali Chelsea walikosa for 50 years(Thank God you found Roman) na kwa jinsi hli ilivyo mnaweza kurudia mwanzo wa enzi....Ama wenzetu mwaka huu mnachukua ubingwa wa EPL??.....
Binafsi huwa nawashangaa sana mashabiki wa Chelsea wanaoicheka Arsenal eti ni trophyless kwa muda mrefu(6 years?),vipi kuhusu Liverpool(bora hata Liverpool waicheke Arsenal maana wao rekodi yao kwenye soka la Uingereza imetukuka lakini si Chelsea).............Ukweli ni kwamba Chelsea hauwezi kuifananisha kimafanikio na Arsenal hata siku moja.......lol
dah! lakini mkuu gonners tunakosa kitu kimoja! leadership !!! namkumbuka sana Veira he was a true camptain!.., wenger imefika kipindi aachane na vitoto anunue hata wachezaji wa 2 experienced .. am sure akidumbukia seria A au ligue ya portugal kule atapata wachezaji wa maana! arsenal sasa tukiwakosa , RVP, febragas, nasri, sagna .. we are done!!
Mhhhh.....Jirani kweli umeamua kurudi kwa ari,kasi na nguvu mpya,maana wiki mbili kama si tatu nyuma ulikuwa mpoleee......
Kwani kabla Roman hajaichukua Chelsea kutoka kwa mzee Ken ulikuwa unashabikia timu ipi kwenye EPL???.....Maana kama ulikuwa ni Chelsea nitakushangaa kuishikia bango Arsenal iliyokosa title for 6 years ilhali Chelsea walikosa for 50 years(Thank God you found Roman) na kwa jinsi hli ilivyo mnaweza kurudia mwanzo wa enzi....Ama wenzetu mwaka huu mnachukua ubingwa wa EPL??.....
Binafsi huwa nawashangaa sana mashabiki wa Chelsea wanaoicheka Arsenal eti ni trophyless kwa muda mrefu(6 years?),vipi kuhusu Liverpool(bora hata Liverpool waicheke Arsenal maana wao rekodi yao kwenye soka la Uingereza imetukuka lakini si Chelsea).............Ukweli ni kwamba Chelsea hauwezi kuifananisha kimafanikio na Arsenal hata siku moja.......lol
Sijawahi kushabikia timu tofauti na Chelsea mkuu, tangu enzi za shida mpaka wakati huu wa Abramovich, mimi sifuati timu zenye mafanikio kama wengi wenu mliochagua Arsenal, Manchester na Liverpool kwa sababu wakati huo zilikuwa na mafanikio, wewe kwanini hukushabikia West Ham au Southampton? Wengi wenu utakuta ni glory hunters mnaongalia timu za juu tu. Stamford Bridge ni uwanja pekee nimewahi pelekwa nikiwa mdogo, that's where it all started. Najua Abramovich kaja na vikombe kibao (lakini tulikuwa tunachukua some cups hapa na pale kabla hajafika) hivyo sio rahisi watu kuongelea kuhusu Chelsea maana tulikuwa hatuchukui vikombe mara kwa mara. Tunapoongelea trophyless kwa Arsenal tunamaanisha kukosa vikombe vyote, sio EPL peke yake kwa timu iliyojenga utamaduni wa kuchukua vikombe mara kwa mara, ndio maana Liverpool watu wanaongelea zaidi kukosa kwao ubingwa wa EPL kwa miaka 20 kwa sababu huko nyuma walilifanya kama lao japokuwa wanashinda some cups. Kwa sasa hivi Chelsea kwa sababu wameshajenga nao tradition ya kuchukua vikombe, ikipita miaka miwili bila hata Carling cup utasikia neno trophyless likianza kuwaandama (and I will be happy with it coz it's a good challenge that shows what the club is expected of), football must have a victim of results, that's why we love it.
Sikatai kuhusu tofauti ya mafanikio kati ya Chelsea na Arsenal, statistics don't lie, na sijawahi kusema hili maishani mwangu....
....pia sijasema popote kwamba tutachukua EPL mwaka huu, lakini pia sidhani kama we're out of it already, bado tuko kwenye UCL, japo tunaweza kumaliza trophyless.
dah! lakini mkuu gonners tunakosa kitu kimoja! leadership !!! namkumbuka sana Veira he was a true camptain!.., wenger imefika kipindi aachane na vitoto anunue hata wachezaji wa 2 experienced .. am sure akidumbukia seria A au ligue ya portugal kule atapata wachezaji wa maana! arsenal sasa tukiwakosa , RVP, febragas, nasri, sagna .. we are done!!