MkoPoKa
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 600
- 393
Siku tutakapiaamja na kuamua kuwa Serious team itarudi Kuupiga Ulaya, lkn with Stan na wahuni wenzie pale juu sioni hili likitokea. Wale wa Trust the process za Arteta naendelwa kuwakumbuaha with him hakuna matumaini tutayaoata, mwendo ni uleule, malalamiko tukizidisha kwa vipigo anahamasisha vijana wanashinda game nne mfululizo, kisha tunapoteza tatu muhimu na kujipanga tena,
Arteta tumepigwa na aliyetupiga ni Stan no Genge lake la wahuni. Team haijui inataka nini na wafanye nini kutoka hapo walipo.
Tumeipenda wenyewe wacha tuvumulie, ila i see Liverpool in the making, sitashangaa kufikisha 30+ yrs bila Ubingwa Stan akiendelea kuwa Mmiliki wa Team.
Tukutane msimu ujao kuenselea na ujinga wa Trust the Process.
Arteta tumepigwa na aliyetupiga ni Stan no Genge lake la wahuni. Team haijui inataka nini na wafanye nini kutoka hapo walipo.
Tumeipenda wenyewe wacha tuvumulie, ila i see Liverpool in the making, sitashangaa kufikisha 30+ yrs bila Ubingwa Stan akiendelea kuwa Mmiliki wa Team.
Tukutane msimu ujao kuenselea na ujinga wa Trust the Process.
