Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Siku tutakapiaamja na kuamua kuwa Serious team itarudi Kuupiga Ulaya, lkn with Stan na wahuni wenzie pale juu sioni hili likitokea. Wale wa Trust the process za Arteta naendelwa kuwakumbuaha with him hakuna matumaini tutayaoata, mwendo ni uleule, malalamiko tukizidisha kwa vipigo anahamasisha vijana wanashinda game nne mfululizo, kisha tunapoteza tatu muhimu na kujipanga tena,

Arteta tumepigwa na aliyetupiga ni Stan no Genge lake la wahuni. Team haijui inataka nini na wafanye nini kutoka hapo walipo.

Tumeipenda wenyewe wacha tuvumulie, ila i see Liverpool in the making, sitashangaa kufikisha 30+ yrs bila Ubingwa Stan akiendelea kuwa Mmiliki wa Team.

Tukutane msimu ujao kuenselea na ujinga wa Trust the Process.
 
granit xhaka amezungumza maneno ya kikatili yenye ukweli ndani yake. "Hatukufuata kabisa maelekezo ya mwalimu, hatustahili kucheza hata europa, uwe na miaka 18 au 30 kama hupo tayari kucheza mpira ni bora ukae nyumbani". Hapo kwenye europe nafikiri ameongozwa tu na hasira za kupoteza mchezo muhimu.
 
Arsenal wameadhibiwa mara 5 kwa kosa la kushindwa kurusha mpira kwa usahihi, tavarez amefanya kosa hilo mara 3 na ndiye anayeongoza kwa premier league.
 
granit xhaka amezungumza maneno ya kikatili yenye ukweli ndani yake. "Hatukufuata kabisa maelekezo ya mwalimu, hatustahili kucheza hata europa, uwe na miaka 18 au 30 kama hupo tayari kucheza mpira ni bora ukae nyumbani". Hapo kwenye europe nafikiri ameongozwa tu na hasira za kupoteza mchezo muhimu.
Huyo Mashaka mwenyewe ndio walewale tu,
Hio speech yake haina lolote zaidi ya kumkingia kifua Arteta.
 
IMG_20220517_055027.jpg
 
Bado nafasi ipo endapo spurs atapigwa na Norwich Arsenal wanahitaji ushindi wowote ,ikitokea spurs wakapata sare dhidi ya Norwich basi itabidi Arsenal washinde magoli 16 kwa bila dhidi ya Everton
Hiyo game yenu na Everton kwanza ombeeni Everton ashinde game na crystal palace ili wawe na uhakika wa kubaki EPL waki draw au lose na crystal palace tegemeeeni kufungwa au draw ila zaidi mtafungwa.
 
Inawezekana arsenal ndio timu inayoongoza kwa kuonewa na waamuzi
Sijui wao ndjo wangekua Chelsea ya awamu hii wangekua nafasi gani. Kuna mambo yalikua yanafanyika hata watu walishangaa mfano maamuzi baadhi kwenye mechi za Chelsea ukijumlisha na matatizo ya mmiliki wao timu ikapoteza ari ila walisimama hivyo hivyo
 
Kwa akili ya kawaida tu , timu inamuachia Lucas Torreira inabaki na elneny, timu inapasua kibubu inaenda kununua wachezaji wa kujaza kliniki ya majeruhi Bwana partey(yes ni mzuri ila anacheza game chache sanaa). Haya mambo timu yenu ijifunze basi mbona mepesi, liverpool alishindwa kuwa fit zaid sababu ya kuwategemea wagonjwa kama Keita, Ox, lallana, Matip ila waliposhituka ikabidi wapambane kutafuta wachezaji wanaoweza kucheza game nying zaid.
 
Back
Top Bottom