Oya Top 4 mnabaki..? 🤣🤣🤣🤣Jioni mahesabu kila mtu apambane kinamna yake
Oyaa haya kiko wapi?.. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kushabikia Arsenal ni bonge la aibu.Uhakika wa kwamba atashinda unautoa wapi wakat Jana mmeshikwa ndevu,tulia hivyo hivyo, huyo Tottenham unayemtegemea atakuingiza hasara siku ya Alhamis
Vipi ile nafasi ya tatu..? Katimu ka watoto waliokotwa kaje kuitoa Chelsea namba 3 pale kwa ubavu upi..? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 poor Arsenal poor poorBila Shaka haya maneno yamekupokonyoka, sisi tunaangalia nafasi ya tatu saizi hiyo ya nne tuweaachia Chelsea na Tottenham washauriane wenyewe
Yaani itakuwa sawa na kukuta bikra kwenye kiringe cha machangudoa! Pole lkn, msimu ujao mnaweza ingia nne bora!Game imeisha ila michezo ya ligi inaendelea. Tuna nafasi finyu sana lkn mpira una maajabu yake hivyo lolote laweza tokea km ilivyotokea
Spurs ana game 2 mkuu labda umesahauSpurs game ya mwisho akilose Arsenal akawin anaqualify championsleague mhhh let's wait and see
Wao arsenal wanaita "Hamza kafia ubalozini"Hii inaitwa "kata funua" hahahaha![]()
HahahahAtashikishwa ukuta baba ako hebu kafir..we huko acha shobo na timu za wanaume.
mmepigwa hampo uefa full stop
wanajua michezo ya waarabu wa Newcastle watakayo enda kufanywa ukujumlisha na kuikosa top4 lazima wawe wakali.

Key word: may be!maybe he convinced the owners not to buy because he trusted his squad, that is why I have a bitter attitude towards him
Mpira wa kipuuzi kabisa


afadhali hilo pira la kipuuzi mpeleke huko uropa