Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Uhakika wa kwamba atashinda unautoa wapi wakat Jana mmeshikwa ndevu,tulia hivyo hivyo, huyo Tottenham unayemtegemea atakuingiza hasara siku ya Alhamis
Oyaa haya kiko wapi?.. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kushabikia Arsenal ni bonge la aibu.
 
Game imeisha ila michezo ya ligi inaendelea. Tuna nafasi finyu sana lkn mpira una maajabu yake hivyo lolote laweza tokea km ilivyotokea
Yaani itakuwa sawa na kukuta bikra kwenye kiringe cha machangudoa! Pole lkn, msimu ujao mnaweza ingia nne bora!
 
maybe he convinced the owners not to buy because he trusted his squad, that is why I have a bitter attitude towards him
Key word: may be!

Yet you're lamenting wholely about Arteta!
 
Back
Top Bottom