Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Hakuna timu inachukua makombe kupitia kocha wa senti mbili. Always complaining, I don’t know what people see in him. Too novice, he knows nothing. Huo ndio ukweli mchungu
Hamna pressure yoyote leo, jamaa wametuzidi kila kituUnachezaje critical match kama hii ukiwa na pressure? Ina maana Arteta hakuwaandaa wachezaji?
Arse8 Hawa kazi Yao ninkusuaga tu makalio ..ngoja nitupie mapichaaa hahahaha😂😂😂Olla tupia japo kapicha basi ka kikosi cha AsaniAli.
Huyu Bruno mlifeli wapiYaani Arsenal hawajui umuhimu wa games zao to the extent hawana tofauti na Sparta ya kwa Kopa.
Two nil against Newcastle? Hii timu ndiyo ingeenda champions league kweli? Timu ina watu wasiokua hata na desire?
Upuuzi mtupu huu
Not dreaming bro, just give Arteta his respect when due. Kwa kikosi hicho alichonacho ulitarajia matokeo gani?? Hata kucheza YUROPA ni achievement kubwa mno kwa kikosi hichoIt is 11.48pm maybe you are in your dreams
Game ambayo ilikuwa ngumu tukashinda ni hiyo ya westham tu. Hizo nyingine tulinufaika na ubovu wa timu kwa united na kudharau game kwa Chelsea.Hao hao wachezaji unaowadharau wamezifunga Manchester United Chelsea West Ham in a row it means wachezaji ni wazuri wakiamua kuplay good game hii ups and down why inatokea mara kwa mara why?
Mkuu punguza ukali wa maneno japo huyo dogo wanayemchukua picha yake inatia mashakaNyie mnachojua ni kubanduana wenyewe kwa wenyewe. Mashoga.
Arteta hana shida tena kajitahid sana
Arse8 Hawa kazi Yao ninkusuaga tu makalio ..ngoja nitupie mapichaaa hahahaha![]()


raha sana kuona mashabiki wa AsaniAli wanapata tabu. MbuuZiiiiiiii pigaaaTusisikilize hizi kelele.
Tukimfunga Newcastle na Everton hizo ni points 72 na namba nne tunakua tumeikaa.
Kama tutashindwa kufunga timu zilizo nafasi ya 14 na 16 kipindi cha muhimu kama hichi basi haina haja kwenda huko CL.
Unamlaumu Arteta kwa wachezaji gani alionao, tunahitaji quality players kwanza. Mpaka hapa kwa msimu huu kajitahidi sana.Mimi kama Computerarsenal kuna muda nilihoji Arteta anaweza akatupa big achievements?nikasema I don't see any future kwa Arteta kuwa coach wa Arsenal nikapewa matusi later on nikasema inawezekana ana vision na board ishampa contract nikasema let's see ataleta nini naconclude today result is very painful to Arsenal supporters so I don't know kama kuna fan anaona Spurs atafungwa na Arsenal vs Everton atashinda game yake very painful today
Ujue haya matakataka bado ayajakomaa kimpira Basi yataaanza kutukanana muda siyo mrefu😂😂😂 na sisi wakulungwa kazi yetu itakuwa Ni kuchochea tu hahahaha 😂🤣raha sana kuona mashabiki wa AsaniAli wanapata tabu.
Sasa hivi hizi mbuzi zitaanza kutukanana zenyewe kwa zenyewe humu.
Tatizo lao wana midomo sana halafu timu lao ni michongo.
Ajipige kifuani aseme mimi mbuziiiKAMA WEWE NI SHABIKI KINDAKINDAKI WA ARSE8 JIPIGE KIFUA SEMA "MIMI NI WA OVYO"..View attachment 2227429
Not dreaming bro, just give Arteta his respect when due. Kwa kikosi hicho alichonacho ulitarajia matokeo gani?? Hata kucheza YUROPA ni achievement kubwa mno kwa kikosi hicho