Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Refa unamtukana bure tu, cedric amefanya upumbavu mwenyewe.
Hapa katikati hawa watoto wenu walipunguza ujinga wa kucheza rafu za hivyohovyo na kula kadi nyekundu, ila mechi ya leo kwa hizi rafu za kipumbavu anazochezea Son sidhani kama mtakosa kadi nyekundu.
Arsenal akili hazimo hawa
 
Screenshot_2022-05-13-06-32-26-14.jpg
 
Poleni wana arsenal wenzangu.
Mungu alitusaidia tukashinda game ngumu sana,hata hii tulikuwa tunashinda ila tukazidiwa mbinu kocha alizidiwa mbinu.
Bado tuna nafasi ya top four tuzidi kufanya vyema game zilizosalia.


We are the gunners forever.
 
Poleni wana arsenal wenzangu.
Mungu alitusaidia tukashinda game ngumu sana,hata hii tulikuwa tunashinda ila tukazidiwa mbinu kocha alizidiwa mbinu.
Bado tuna nafasi ya top four tuzidi kufanya vyema game zilizosalia.


We are the gunners forever.
Ni Refa ndiye katuzidi mbinu
 
Unajiuliza, mchezaji kama Rob ambaye ni senior kabisa, why commit a silly foul wakati unajua kabisa upo kwenye yellow na hii ni game muhimu kuliko zote msimu huu? Nashindwa kuelewa alifikiria nini?

Kwani Arteta huwa haongea DONT'S and DO'S kabla ya game?
Sasa kwa defence ikiyopo kwa games mbili tutarajie ushindi na top four kweli?
 
Cedric nae, kwanini awake mgongo recklessly ndani ya box? It was stupid for a senior player, japo kweli spurs walituzidi kila kitu. Baadhi ya wachezaji wanazidi kutufelisha.
 
Chapati nyingine hii.

Arsenal kajihakikishia kwenda Europa tangu game na Westham.

Angeshinda leo angejihakikishia CL.

Hajashinda anabakiwa na majaribio mawili ili kusecure nafasi ya CL.

Pimbi wewe.
Sawa, kumekucha sasa tunaomba uchambuzi
 
Unajiuliza, mchezaji kama Rob ambaye ni senior kabisa, why commit a silly foul wakati unajua kabisa upo kwenye yellow na hii ni game muhimu kuliko zote msimu huu? Nashindwa kuelewa alifikiria nini?

Kwani Arteta huwa haongea DONT'S and DO'S kabla ya game?
Sasa kwa defence ikiyopo kwa games mbili tutarajie ushindi na top four kweli?
White karudi

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Arse ninyi mnafaa kuwa na academy kama akina Nketiah tu. High profile hamuwawezi
Mmemfukuza Auba sasa kule kakiwasha game 15 goli 11 na assists 1
Akiwa Arse misimu miwili game 43 goli 14

Au mmesahau kuwa Arse ni academy ya kuwakuza vijana na kuwauza. Na mapato yenu yanapatikana kwenye hiyo chanzo. Siku mkianza kushindania makombe mtaporeza dira kabisa. Tuandalieni ti hao academy na miwaingize sokoni haraka kabla hawajashuka bei. Bukayo Saka msimu huu tutamhitaji. Pigeni bei acheni ufala
Nashangaa sijui wanapata wapi ujasiri wa kumtaka Jesuse na wachezaji wengine wakubwa wakubwa wakati tunajua hii ni klabu ya kusajili wachezaji wa pound million nane au tisa hivi ..wakisajili juu ya hapo ni lazima wapigwe tu. Angalia kwa pepekalee wamepigwa, lacazete walipigwa ..Yani ni kupigwa tu🤣🤣🤣
 
Poleni wana arsenal wenzangu.
Mungu alitusaidia tukashinda game ngumu sana,hata hii tulikuwa tunashinda ila tukazidiwa mbinu kocha alizidiwa mbinu.
Bado tuna nafasi ya top four tuzidi kufanya vyema game zilizosalia.


We are the gunners forever.
Top foo ya uswahilini labda
 
Arse8 Kama asenyeto ..wazee wa kupakuana tope😂😂😂😂

Munaacha kucheza mupira kisa mumelegea legea 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom