ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,056
Cheltako 2 Arsenal 4 says otherwise.
Hapa mlirudisha yake mawili niliyokupiga first Leg. So hujashinda moja nami nimeshinda moja. Au nikumbushe
Arsenal 0 vs Chelsea 2
Chelsea 2 vs Arsenal 4
Cheltako 2 Arsenal 4 says otherwise.
Kwa game ya jana sina uchambuzi wa kina, bali simple opinion tu.Nimekaa kwa kutulia nasubiri uchambuzi wa kina Will Jr, Castr, Henry14 na Computerasernal.
Ety uchambuzi wao ni kumlaumu refa![]()


Kwa game ya jana sina uchambuzi.
Timu haikutulia. Refa alikuwa msongo sana naye mwanzoni. Yaani pale beki wa Tottenham alivyomdaka Saka mguu akapewa needless yellow nikahisi huyu refa anaugomvi na mkewe na atatolea stress zake kwenye hii game. Kidogo tena Holding akapigwa yellow kwa foul nyepesi kabisa nikathibitisha hakuna game hapa. Mpaka nikahisi kuna match fixing kabisa.
Tuna game 2. Tukishinda zote 2 au kushinda 1 na droo 1, tutashika nafasi ya 4. Kazi kwao sasa.
Hahaha sasa kwanini nikunyandue? Hunijui sikujui unataka nikunyandue?Ww una matatizo ya akili ww, nadhan hy kazi nayokuja kufanya usaili ni kunyanduliwa na ww
Hapana hizo mbili za mzunguko wa kwanza mlikua mnalipa mbili za msimu uliopita.Hapa mlirudisha yake mawili niliyokupiga first Leg. So hujashinda moja nami nimeshinda moja. Au nikumbushe
Arsenal 0 vs Chelsea 2
Chelsea 2 vs Arsenal 4
Kuna vitu viko wazi hata kukuambia naona uvivu.Na kujificha kwa wachezaji wao kuwa hawana uwezo wa kucheza UEFA. Mi nimewashauri kama hawana uwezo wa kucheza Uefa kwann wang’anganie si waache tu. Castr kaniwakia hatari![]()
Wewe shoga em acha mazoea na mm, nenda kaliwe unapoliwaga.Mm napenda wanaume kama ww Ezekiel Mbaga mana mnasugua hadi raha, mara ya mwisho kuja geto kwako ulinisugua hadi nikajipoza na maji baridi
Hizi mbuzi za Emirates zikibahatishaga mechi mbili tatu hua zina maneno sana, zenyewe ndio zinajifanya zinajua sana kuchambua mpira.Mbuzi hata upige gitaa la kutoka mbinguni ..huwa asikii ..mbuzi ni mbuzi tu
We dogo unaedit comment zangu wewe?Wewe shoga em acha mazoea na mm, nenda kaliwe unapoliwaga.
Ww mbwa nmekuambia achana na mmNaomba unif!re tena baba
Kwahyo jana spurs alisusiwa kwa style hyo. Alifaidi sana...Hizi mbuzi za Emirates zikibahatishaga mechi mbili tatu hua zina maneno sana, zenyewe ndio zinajifanya zinajua sana kuchambua mpira.
Arsenal : Baby nataka nikuoneshe style mpya inaitwa "Airtel wezi wa bando"
Spurs: Embu nionyeshe sweety View attachment 2222534
Alifaidi vibaya mno, halafu Kane anasifia kua ingawa hawana marinda lakini vipenyo vyao bado mnato.Kwahyo jana spurs alisusiwa kwa style hyo. Alifaidi sana...
Unategemea beki awe anakaba bila kumgusa? Mimi ninaona tukio lilikuwa la kimchezo na sio dhamira ya kufanya faulo.kwani hakusukumwa?
Acha kutetea ujinga weweUnategemea beki awe anakaba bila kumgusa? Mimi ninaona tukio lilikuwa la kimchezo na sio dhamira ya kufanya faulo.
Huyu referee Paul Tierney kumbe ni mzaliwa Wa Manchester na anaishi Salford-Greater Manchester kwahyo automatically ni fan Wa Nyumbu
Nilikuwa najua tu adui yetu hawezi kuwa mbali,always Nyumbu ndio adui namba moja kwa Arsenal