Sasa hivi wakachambue maharage sasa.Ukikuta wanavyochambua timu yao humu, utadhani ni real Madrid Yani!
Hasa AaronUkikuta wanavyochambua timu yao humu, utadhani ni real Madrid Yani!





Hapa ndo' kazi ilipo.Niwakumbushe tena mkifungwa hii mechi
Mbele mna Necastle larger na Everton iliyobatizwa kwa moto wa Lamparf
Spurs game zake mbili ni uji wa mgonjwa
Norwich na Burnley
Sisi Chelsea tuna maji ya kilimanjaro ni kunywa tu
Leicester city na Watford
Kwa Newcastle labda mshinde njaa.Newcastle game ni must kushinda Tottenham ataplay before us so Home advantage vs Everton itakuwa ni msaada kwetu otherwise tutakimbia Jukwaa
Holding huwa anatulia sana lkn leo alikuwa kapania/kakamia sana. Huwa zinatokea mara moja moja kwenye derby wachezaji kukamiana lkn yote kwa yote leo ndo nimemuelewa vzr Arteta kumtoa matineli aliekuwa anaonekana kuwa msumbufu kwa wapinzani na kumuingiza RoweKocha hana shida ila baadhi ya wachezaji wamepitwa na muda, lacazette, Holding, Cedric hawatakiwi kucheza Arsenal, they are shit. Tavares bado mdogo apewe muda ajifunze. Individuals errors za Cedric & Holding zimetunyima control ya mchezo ndo mambo mengine mengi yameingia hapo kati na Spurs wamecapitalize.
The Gunners imekua The ganjaz.London is red mpauko
Holding tokea mechi inaanza alikua anamchezea rafu za kipumbavu sana Son, kuna kipindi aliniudhi mpaka nikatamani mimi ndio ningekua refa wa hii mechi.Holding huwa anatulia sana lkn leo alikuwa kapania/kakamia sana. Huwa zinatokea mara moja moja kwenye derby wachezaji kukamiana lkn yote kwa yote leo ndo nimemuelewa vzr Arteta kumtoa matineli aliekuwa anaonekana kuwa msumbufu kwa wapinzani na kumuingiza Rowe
Holding is so bad bro, technically limited huwa silaumu mchezaji kwa mihemko.Holding huwa anatulia sana lkn leo alikuwa kapania/kakamia sana. Huwa zinatokea mara moja moja kwenye derby wachezaji kukamiana lkn yote kwa yote leo ndo nimemuelewa vzr Arteta kumtoa matineli aliekuwa anaonekana kuwa msumbufu kwa wapinzani na kumuingiza Rowe
Mtajua huko kwenye conference leagueWe lost a battle but not the war.
Heads up