OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,939
- 25,269
Nafasi ya Tatu inawahusu ..bado point ngapi vile..?!Ukweli Mchungu timu yetu kwenye games za pressure kama ya Jana huwa hatupatagi positive results at all game ya Newcastle nayo ina pressure kubwa kuliko ya jana inafuatia let's wait and see nini kitatokea ila players lazima wajue kuhandle pressure kwenye games kama hizi
