Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
This is madness, nilidhani yameisha kumbe bado
We still have stupid players
This is madness, nilidhani yameisha kumbe bado
Mwamuzi ana ajenda ya siri aisee. Anawaonea arsenal.Hakuna fixing Mzee...
Arsenal must win matches huwa ni ngumu ku win.
#Fatilia
Tokea mpira unaanza anamchezea rafu za kipumbavu Son lakini refa anamkaushia.Holding alikuwa hajatutulia. Kocha alipaswa kumwita na kuongea naye.
Wagongwa au wagongaTokea mpira unaanza anamchezea rafu za kipumbavu Son lakini refa anamkaushia.
Hii mechi Spurs wagongwa goli tano, na Kane anaondoka na mpira.
Ila kwangu faulo ya kadi ni ile ya kiwiko tu. Ile nyingine haikuwa sahihi.Tokea mpira unaanza anamchezea rafu za kipumbavu Son lakini refa anamkaushia.
Hii mechi Spurs wagongwa goli tano, na Kane anaondoka na mpira.
Spurs wanawagonga goli 5 hawa matakataka.Wagongwa au wagonga
Tottenham na arsenal huwa game zao ziko hivi, anayefungwa huwa anafungwa vizuri.Ule ugonjwa wa kupoteza mechi za msingi bado upo kumbe
Haya magoli mawili imewabadilisha Spurs na kuna uwezekano kabisa Arsenal wakapoteana na Kane 3 na Son 2Spurs wanawagonga goli 5 hawa matakataka.
Hizi mbuzi ni za ligi ya mchangani tu, wana miaka 10 ya kuendelea kucheza futuhi za alhamisi.Arsenyeto ndyo mnataka mcheze uefa mkacheze na Bayern na Madrid