Chapati nyingine hii.Mtajua huko kwenye conference league
Arsenal kajihakikishia kwenda Europa tangu game na Westham.
Angeshinda leo angejihakikishia CL.
Hajashinda anabakiwa na majaribio mawili ili kusecure nafasi ya CL.
Pimbi wewe.
Chapati nyingine hii.Mtajua huko kwenye conference league
Hakuna Nyumbu mwenye akiliChapati nyingine hii.
Arsenal kajihakikishia kwenda Europa tangu game na Westham.
Angeshinda leo angejihakikishia CL.
Hajashinda anabakiwa na majaribio mawili ili kusecure nafasi ya CL.
Pimbi wewe.
Hakuna Nyumbu mwenye akili


bora hata ya nyumbu kidogo kuliko nyinyi wazee wa clean shit
. Spurs kwa liver ulichambua sana ukasema technically Liverpool wako insecuredHolding is so bad bro, technically limited huwa silaumu mchezaji kwa mihemko.
Kisikilizeni hichi kiajuza, kinajipa moyoWe lost a battle but not the war.
Heads up
Punguza kubwabwaja.bora hata ya nyumbu kidogo kuliko nyinyi wazee wa clean shit
.
Insigne punguza makasiriko tayari mmeshafuzu kwenda Yuefa.
Sijui mlinielewa lakini nilichokuwa namaanisha?Hamna uweza wa kumfunga spurs nyinyi narudia tena huenda hamjasikia vizuri uwezo wa kumfunga spurs hamna, sijui mmenielewa lakin?
Good boyAcha niache kupost. Last time nimepost sana kabla ya game Crystal Palace walitutandika 3-0. Bad omen.
urudi hapaAnapigwa kama walivyopigwa wengine
#COYG
Arsenal ni Arsenal tuArse so far play well
Golikipa Bora kabisaRamsdale hajadaka penati bado tangu aje Arsenal