Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

i was for barca but with ref spoiling the match hata ule utamu wa mechi ni kama umeisha kabisa... nimeshindwa hata kupiga makofi aisee

fook!!

Kwani hako kapenalt si sawa tu na kale walikopewa chelsick kwenye mechi na man tehetehe

Arsenal walishangilia sana utumbo wa refa leo yamewarudi
 
Kwani hako kapenalt si sawa tu na kale walikopewa chelsick kwenye mechi na man tehetehe

Arsenal walishangilia sana utumbo wa refa leo yamewarudi
yeah... ni sisi liver tu ndio tunakosa upendo wa refa
 
Jaman Barca msitumalizie kanyama ketu, tuna sherehe OT jumamosi.
 
da refa katu..ra kwelikweli ngoja nimwangalie Ghadhafi mie hamu imeisha:hand:

tatizo na Gadafi nae anaelekea kushindwa....kesho naenda zangu Loliondo.....unalo Shosti,mwanao wiki nzima kanuna!!:mullet:
 
Polepole mkuu kubebwa na goli 3????
mzee gianluca vialli aliwahi kusema "10 men against 11 is out of soccer excuse" .....mwisho wa kunukuu. mimi naona tuwapeni pole ze goonerz tu. tuonane mwakani
 
khe... kheren, shosti, michelle, kumbe asenali iko feminine eh??

siku yenu leo nawaaminia siwaudhi... ntawaudhi kesho malavidavi wetu
 
duh mmepigiwa spanish guitar mpaka mmeachia wenyewe....
 
Back
Top Bottom