Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Shida ya xhaka hanyumbuliki, midfilder huwezi kuwa mgumu kama unakula KOKOTO.

Sent from my COR-AL10 using JamiiForums mobile app
Anapanda juu ila anachelewa kurudi. Hana pace siyo kosa lake kutokua nayo basi asiingie deep kiasi kwamba tukipigwa kaunta yeye anaonekana hawezi endana na kasi ya move.

Pia jana pasi zake zilikua hovyo sana.
 
Wapi HENRY14 ? Nadhani mkuu leo umeona zile One two za Artetaball mithili ya Wengerball, nimekutag sababu unasema mpira wake haukuvutii.
Naona Arteta anajitahidi kwa kweli. Magoli yalikuwa enjoyable yaani kuanzia la Odegaard hadi la Martinelli. Kabla mabeki hawajaelewa kinachoendelea wanajikuta wanaokota mpira golini. Hii mimi napenda. Kuna mambo kwenye mechi yaliniudhi ila leo nipo katika kufurahia 3 points zaidi so sitakosoa yeyote wala chochote 😀😀 acha tule bata vijana wa asenali tumeteseka sana na kwa huyu Arteta hatuna uhakika kwamba mateso yameisha.
 
Timu imecheza vizuri kwa kweli, lucha ya mapungufu hasa upande wa kuzuia lakini tmecheza vizuri. Laca ameonesha umuhimu wa kuwa na mkubwa uwanjani
 
Back
Top Bottom