Trick mirik
JF-Expert Member
- May 5, 2019
- 555
- 1,294
Ila tumeanza kupoteza mipira kijinga
Leo ndio unaona mpira mbovu alikuwepo kipindi cha Emery tu?? Ni wewe hapa ulikuwa ukibishana na wadau kwamba Arteta sio kocha. Ukafikia kuhamia PSG. Hebu toka hapa tena wewe unapaswa unyamaze kabisa! Nenda zako PSG hukoArsenal yetu haijawahi kuwa na mpira mbovu for more than 15 years ni kipindi cha Emery tu mambo yakaharibika but problem ni mafanikio makubwa ya big trophieskwa sasa Arsenal haina michuano yoyote inayoshiriki no champions league no europa league wala domestic competitions hvyo top 4 is a must kwa Big club kama Arsenal kwa sasa hayo mambo ya kucheza vizuri hakuna fans wala mpinzani asiyejua kama Arsenal ina sexy football bro TULIA
Bro kama ndio kwa akili zako umekaa ukaandika hivi sina cha kukujibu unataka tuanze kurudia yale yale (unajua tuna tabia ya kusahau sana Arsenal ndani ya wiki alitolewa FA na Carabao cups tena this year January)nakukumbusha ila haya umeshinda na PSG sijahama broLeo ndio unaona mpira mbovu alikuwepo kipindi cha Emery tu?? Ni wewe hapa ulikuwa ukibishana na wadau kwamba Arteta sio kocha. Ukafikia kuhamia PSG. Hebu toka hapa tena wewe unapaswa unyamaze kabisa! Nenda zako PSG huko
tuendelee kuenjoy EPL games sawa bro?We have this covered tulia mkuuBeki wanazubaa, Ramsdale analeta utoto
We have this covered tulia mkuu
Sawa ila ukae kwa kutulia. Arteta timu ameisuka imesukika. Wewe jamaa unaonekana hujui mpira umejaa tu ushabiki. Haya nenda zako PSG na utuachie kocha letu bora.Bro kama ndio kwa akili zako umekaa ukaandika hivi sina cha kukujibu unataka tuanze kurudia yale yale (unajua tuna tabia ya kusahau sana Arsenal ndani ya wiki alitolewa FA na Carabao cups tena this year January)nakukumbusha ila haya umeshinda na PSG sijahama brotuendelee kuenjoy EPL games sawa bro?
Haya bro naenda PSGSawa ila ukae kwa kutulia. Arteta timu ameisuka imesukika. Wewe jamaa unaonekana hujui mpira umejaa tu ushabiki. Haya nenda zako PSG na utuachie kocha letu bora.

dawa ya Mjinga ni majibu mafupi yanatoshaMwanzoni alitulia but dk za mwisho akawa amepanicNafasi ya Xhaka itafutiwe mtu, hayupo vizuri na anaikosti timu.
Mwanzoni alikuwa mtulivu but dk za mwisho akapanicXhaka anatucost na atatucost kama ataendelea kuzalisha machungwa day in day out.
Tumeshinda kazi tumeimaliza ngoja tuwaone united.
Mkuu angalia Kuna team Xhaka humu watakuvagaa vibaya sana, wao Waga hawaoni makosa ya kijana wao mpendwa yanayo igharimu team mara Kwa maraNafasi ya Xhaka itafutiwe mtu, hayupo vizuri na anaikosti timu.
Sio mbaya baada ya msimu Kwisha tutaangalia mtu wa kumpa majuku yake maisha yaendeleeMkuu angalia Kuna team Xhaka humu watakuvagaa vibaya sana, wao Waga hawaoni makosa ya kijana wao mpendwa yanayo igharimu team mara Kwa mara
Xhaka anapoteza concentration sana. Sio mbaya sawa lakini yupo on and off, akiwa off kuachia boko ni dk sifuri, unacheza square ball wakati ungecheza karibu na mwenzako ili kutunza possession huoni ni kosa tena dk za mwisho?Sio mbaya baada ya msimu Kwisha tutaangalia mtu wa kumpa majuku yake maisha yaendelee