Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naona Arteta anajitahidi kwa kweli. Magoli yalikuwa enjoyable yaani kuanzia la Odegaard hadi la Martinelli. Kabla mabeki hawajaelewa kinachoendelea wanajikuta wanaokota mpira golini. Hii mimi napenda. Kuna mambo kwenye mechi yaliniudhi ila leo nipo katika kufurahia 3 points zaidi so sitakosoa yeyote wala chochote 😀😀 acha tule bata vijana wa asenali tumeteseka sana na kwa huyu Arteta hatuna uhakika kwamba mateso yameisha.
Defensive tulizubaa sana, naona hata Arteta anasema hatukuwa na energy tukidefend.
 
Saliba will replace Gabriel magalhães.
sahau hilo ndugu, najua humkubali huyu mwamba, ila labda arteta aondoke, magalhaes ndio beki ambaye arteta alimleta kwa ajiri ya project, akatafutwa partner wake ambaye ni white

hata wengi wana propose ujio wa saliba aje atengeneze back 3 , ila sio kumtoa nje gabriel,

na sioni arteta akirudi kwenye back 3, tena sitashangaa arteta akamuongeza mkataba saliba , then akampiga bei, kumbuka ile sio sajiri yake, ilikuwa ya klabu , hata emery alisajiriwa tu.

uwezo aliouonesha magalhaes had sasa, ni ngumu kurudishwa benchi,
 
sahau hilo ndugu, najua humkubali huyu mwamba, ila labda arteta aondoke, magalhaes ndio beki ambaye arteta alimleta kwa ajiri ya project ya project yake, akatafutwa partner wake ambaye ni white

hata wengi wana propose ujio wa saliba aje atengeneze back 3 , ila sio kumtoa nje gabriel,

na sioni arteta akirudi kwenye back 3,
Gabi anahitaji maturity tu kiasi fulani ila jamaa ni beast. Akiwa mikononi mwa kocha bora huyu atamfikia VVD wa Liverpool nadhani
 
Gabi anahitaji maturity tu kiasi fulani ila jamaa ni beast. Akiwa mikononi mwa kocha bora huyu atamfikia VVD wa Liverpool nadhani
upo sahihi ndio maana arteta amewachukua wakiwa umri mdogo tu, hata white bado anahitaji kujifunza vingi, ni mbovu 1v1,

hadi sasa hatujafungwa goli la kona toka ligi ianze, cha kwanza kabisa arteta aliangalia urefu , magalhaes ana 1.9m , white ana 1.82, tomiyasu 1.88

saliba atarudi kuongeza depth na huenda akamtoa mmoja wao kwasababu naye ni mrefu 1.9m, na itambidi aendane na kasi ya epl, but sina wasiwasi na uwezo wake,
 
upo sahihi ndio maana arteta amewachukua wakiwa umri mdogo tu, hata white bado anahitaji kujifunza vingi, ni mbovu 1v1,

hadi sasa hatujafungwa goli la kona toka ligi ianze, cha kwanza kabisa arteta aliangalia urefu , magalhaes ana 1.9m , white ana 1.82, tomiyasu 1.88

saliba atarudi kuongeza depth na huenda akamtoa mmoja wao kwasababu naye ni mrefu 1.9m, na itambidi aendane na kasi ya epl, but sina wasiwasi na uwezo wake,
kama anauwezo aje apambane. Nahisi tunamuongezea mkataba hata hivyo. Kuna kupata injuries pia na ni vizuri ukimkosa mmoja mf. white, saliba aingie na tusione pengo. kama sasa hatuoni pengo la tomiyasu. iwe hivyo kwa nafasi zingine pia.
 
Dennis

1646649282764.png


Jana nilimuhesabu huyu jamaa kama mchezaji wetu wa 12 au 3rd centrback wetu kwa jinsi alivyouza chances nzuri. Ingawa alijaribu kutusingizia penalty kwa kujiangusha kizembe ndani ya box nilimsamehe
 
kama anauwezo aje apambane. Nahisi tunamuongezea mkataba hata hivyo. Kuna kupata injuries pia na ni vizuri ukimkosa mmoja mf. white, saliba aingie na tusione pengo. kama sasa hatuoni pengo la tomiyasu. iwe hivyo kwa nafasi zingine pia.
saliba anarudi ,arsenal imekuwa ikituma wawwkilishi kuwafatilia wachezji walio kwa mkopo, maendeleo yao, ndio maana smith rowe aliporudishwa akapewa na namba 10 kabisa, saliba ule uwezo anaouonesha ligue 1,akiukopi epl, ni moja ya top 3 back in epl,

na moja kwa moja anaingia kikosini, tyr madrid wanamuhitaji, rais wa marseille juzi amesema kuna uwezekano wakaomba wauziwe moja kwa moja,
 
kwa neutrals na wapenda highlights mechi yetu ilikuwa na magoli makali matano. Nilijikuta napiga makofi kwa goli la sissoko kwakuwa nilijua tumeshashinda ila kweli jamaa alifunga goli zuri
 
sahau hilo ndugu, najua humkubali huyu mwamba, ila labda arteta aondoke, magalhaes ndio beki ambaye arteta alimleta kwa ajiri ya project, akatafutwa partner wake ambaye ni white

hata wengi wana propose ujio wa saliba aje atengeneze back 3 , ila sio kumtoa nje gabriel,

na sioni arteta akirudi kwenye back 3, tena sitashangaa arteta akamuongeza mkataba saliba , then akampiga bei, kumbuka ile sio sajiri yake, ilikuwa ya klabu , hata emery alisajiriwa tu.

uwezo aliouonesha magalhaes had sasa, ni ngumu kurudishwa benchi,
Ni kweli, binafsi siwezi kumkubali mchezaji mwenye mental issue hata dakika moja, mchezaji ana miaka miwili sasa lakini muangalie in possession anapanic, hana confidence, always underpressure, he is not calm, progression zero, jana build up ya goli la Saka alikuwa kadispossess mpira ni juhudi binafsi za Bukayo Saka, kuna wachezaji wanafichiwa makosa na Setup + other players.

So William Saliba will replace Gabriel easily, mark my words. kinachombeba Gabriel kwenye LCB kuwa huyu ni left footed player and not otherwise, Arteta wanted a left footed player thats why akaenda kwa Gabriel ila in a meantime Saliba performance on that LCB ndio inamuondoa Gabriel kwenye best X1, Subiri uone mkuu kuwa Gabriel won't be our starting CB in the coming seasons.
 
Wana gunners, hivi kwanini Saka ameshangilia kama Mane kwenye goli lake?
 
Ni kweli, binafsi siwezi kumkubali mchezaji mwenye mental issue hata dakika moja, mchezaji ana miaka miwili sasa lakini muangalie in possession anapanic, hana confidence, always underpressure, he is not calm, progression zero, jana build up ya goli la Saka alikuwa kadispossess mpira ni juhudi binafsi za Bukayo Saka, kuna wachezaji wanafichiwa makosa na Setup + other players.

So William Saliba will replace Gabriel easily, mark my words. kinachombeba Gabriel kwenye LCB kuwa huyu ni left footed player and not otherwise, Arteta wanted a left footed player thats why akaenda kwa Gabriel ila in a meantime Saliba performance on that LCB ndio inamuondoa Gabriel kwenye best X1, Subiri uone mkuu kuwa Gabriel won't be our starting CB in the coming seasons.
hizo sifa mbaya kwa gab unazosema mimi binafsi sizioni kiasi hicho, na amekuws moja ya wachezaji bora hadi sasa msimu huu, lait huo udhaifu unaousema kwa gabi ,sidhani kama tungekuwa hapa tulipo, kila mwez amekuwa hakos kwenye list among best player ,
 
Gabi anahitaji maturity tu kiasi fulani ila jamaa ni beast. Akiwa mikononi mwa kocha bora huyu atamfikia VVD wa Liverpool nadhani
Maturity miaka miwili yote bado hajapata? Muangalie Benjamin White ana muda gani Arsenal? Muangalie White in possession namna alivyo Calm, Confident hata akicheza aggressive passes mtu unajiamini zitafika. Sasa muangalie Gabriel hawezi kuprogress mpira either apige backpass au side pass, no central progression akijaribu ujue kadispossess, Mimi Gabriel akishika mpira huwa najiandaa kwa lolote, tatizo lake ni mental hana tofauti na D. Luiz / Mustafi.
 
Sasa muangalie Gabriel hawezi kuprogress mpira either apige backpass au side pass, no central progression akijaribu ujue kadispossess
sio kweli usemacho, halafu gab sio ball playing dfnd, kama white, wote wana profile tofauti,
 
Maturity miaka miwili yote bado hajapata? Muangalie Benjamin White ana muda gani Arsenal? Muangalie White in possession namna alivyo Calm, Confident hata akicheza aggressive passes mtu unajiamini zitafika. Sasa muangalie Gabriel hawezi kuprogress mpira either apige backpass au side pass, no central progression akijaribu ujue kadispossess,
Gab ni beki mzuri sana tu, ameshakuwa beki bora huko ligue one, tatizo wewe unaenda kumuangalia gab atakosea nini,

gab ni moja ya wachezaji bora wa arsenal msimu huu, gab kupiga back pass, sio tatizo ,buildup ya arsenal ina option zaid ya tatu, lazima apeleke kwa tierny, rams, au white
 
Sasa muangalie Gabriel hawezi kuprogress mpira either apige backpass au side pass, no central progression akijaribu ujue kadispossess
hizi sifa mbaya unazompa gab, kama ingekuwa kweli, bas arsenal wangekuwa na malemgo ya kurud sokoni wanunue top CB, lkn huo mpango haupo, anarud salibs, trusty,

gab ni moja ya wachezaji wanaotajwa sana kupewa au kuwepo kwenye list ya makapten,
 
Back
Top Bottom