Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal for now.
20220216_213054.jpg
 
Hiki kipindi cha kwanza kilikua cha kukamuana magoli mazuri tu.
 
Hili halitegemeni na kuwa ligi imeisha au haijaisha. Kama mtu anashindwa kuona hilo basi sijui nimtafsiri vipi. Labda chuki tu
Arsenal yetu haijawahi kuwa na mpira mbovu for more than 15 years ni kipindi cha Emery tu mambo yakaharibika but problem ni mafanikio makubwa ya big trophies kwa sasa Arsenal haina michuano yoyote inayoshiriki no champions league no europa league wala domestic competitions hvyo top 4 is a must kwa Big club kama Arsenal kwa sasa hayo mambo ya kucheza vizuri hakuna fans wala mpinzani asiyejua kama Arsenal ina sexy football bro TULIA
 
Arsenal yetu haijawahi kuwa na mpira mbovu for more than 15 years ni kipindi cha Emery tu mambo yakaharibika but problem ni mafanikio makubwa ya big trophies kwa sasa Arsenal haina michuano yoyote inayoshiriki no champions league no europa league wala domestic competitions hvyo top 4 is a must kwa Big club kama Arsenal kwa sasa hayo mambo ya kucheza vizuri hakuna fans wala mpinzani asiyejua kama Arsenal ina sexy football bro TULIA

Magoli yanayofungwa ni ya viwango vikubwa
 
FACT hizi timu sometimes zinapataga bahati ya kupata results dk za mwisho but Arsenal ameplay 24 games wenzake wengi wana 27 or 28 games na viporo alivyobakia navyo ni (Liverpool Chelsea and Tottenham)furaha isije kuyeyuka kama barafu kwenye jua hii game lazima apate matokeo otherwise huko mbeleni itakuwa vilio

Ukiangalia table unasema why Arsenal asiqualify champions league next season but hivi viporo Tottenham alikuwa navyo na vikachacha na Arsenal ana tough teams kwenye hvyo viporo May ndio itafahamika kama Arsenal atakuwa top 4 au lah kwa sasa let's watch and enjoy the games
Kwa form yetu ya sasa labda liver ndo atatusumbua, wengine waliobak waktufunga n bahat mbaya,
 
Kwa form yetu ya sasa labda liver ndo atatusumbua, wengine waliobak waktufunga n bahat mbaya,
Haya ndio maneno sasa bro nguvu hii iendelee tukashiriki Champions league imagine ni zaidi ya miaka 5 au 6 sasa tunashuhudia wapinzani wakipigiwa nyimbo za Champions league na sisi this season tujione basi
 
Back
Top Bottom