Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu angalia Kuna team Xhaka humu watakuvagaa vibaya sana, wao Waga hawaoni makosa ya kijana wao mpendwa yanayo igharimu team mara Kwa mara
Watajua wenyewe, ni kweli combination ya Partey na Xhaka imekuwa nzuri so far, lakini ana maboko ya kizembe sana, game ingeisha kwa draw lawama zingeangukia kwake leo.
 
Xhaka anatucost na atatucost kama ataendelea kuzalisha machungwa day in day out.

Tumeshinda kazi tumeimaliza ngoja tuwaone united.
Gabdiel naye inabid awe makini sana kwenye upigaji wa pasi, bao la saka alikua katoa pasi mbovu sana na alikua eneo baya sana kama yule mchezaj wa watford angekua shap angepiga pasi moja ambayo ingeenda kuleta madhara makubwa mno
 
So far left wing na left back bado hawajachangamka. Matatizo yote yanayokea huko
Najaribu kuwaza msimu ujao tukampata de Jong akacheza nafasi ya xhaka! Maana upande wa kulia unachangamka sababu ya umahiri wa odegaard
 
achana na huyo jamaa hajui anataka nini
Hukujibu my question ukaingia mitini that's good huwa napenda nikuulize swali uingie mitini welcome back bro

Badili jina lako la huyo trash unayejiita tumeshamsahau kama yupo kwenye squad
 
Hukujibu my question ukaingia mitini that's good huwa napenda nikuulize swali uingie mitini welcome back bro

Badili jina lako la huyo trash unayejiita tumeshamsahau kama yupo kwenye squad
Na huu ndio ujinga wako. Eti Lukonga ni trash. Sijui mnaangalia mpira kwa macho kama yetu au mnatumia pua kutazamia mpira labda wenzetu
 
Nilimuona kipindi kileee mlivyokuwa mnamuelez na alivyokuwa anamnanga Arteta sana Leo kageuka. Kama anajielewa japo kidogo ni Bora tu akae kimya
Naona unataka kubishana na Mimi kuhusiana na Arteta nirudie ya zamani tusubirie May 2022 siku msimu ukiisha kurudia rudia maneno haipendezi bro tukubaliene kutokubaliana that's it
 
Back
Top Bottom