Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,249
- 2,156
Michelle, ngoja nikusaidie kushangilia........:cheer2::cheer2::cheer2::cheer2:
Karibu sana...usije kukimbia tu na wewe....
Michelle, ngoja nikusaidie kushangilia........:cheer2::cheer2::cheer2::cheer2:
Michelle, ngoja nikusaidie kushangilia........:cheer2::cheer2::cheer2::cheer2:
Karibu sana...usije kukimbia tu na wewe....
wenzio tulifundishwa kushukuru kwa kila jambo.....wacheze hata wanne.....Arsenal is the best!!
Asante dearest .....furaha imegeuka :A S 13::A S 13: baada ya red card...sijui yatakuwa yale kisicho riziki hakiliki......!!!! usiniache leo!!!
Nipo kushangilia ushindi tu.......🙂
Jamaa tunawapa uhuru wote wanaotaka kwenye box letu.
Hata kumi wanaweza kufanya maajabu...so usiogope sana! have confidence in them!
Hata kumi wanaweza kufanya maajabu...so usiogope sana! have confidence in them!
halinganishwi na yeyote....muone tu mwanangu mzuri yule!!!!
mkuu usipanic, hawa barca wenyewe leo twanga pepeta wa nguvu. yaani utumbo mtupu.Hawachezaji wetu mbona hawataki kuondoa mpira golini kwetu?