Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahahahahaaaa! mtatia adabu wiki hii, tulipokuwa twalalamika sie mid week na Atkson wetu mkawa mwacheka. Wikend ii zamu yenu. Khe kheeeeeeeee!
 
Missed opportunity kupunguza points, still bado tuna nafasi wakuu.

Tumecheza vizuri sana dakika za mwisho kipa wa sunderland kawaokoa sana na marefa wameua pia big time. Tumewazoea,tuangalie mbele sasa.
 
Poleni Gunners wenzangu......Ukweli ni kwamba timu yetu haiko kiushindani kivile,game ya leo tumezembea wenyewe,washambuliaji wetu hawako makini hata kidogo.......Tulipewa nafasi ya kumkaribia Man Utd tumechezea.......Naanza kushawishika kwamba mwka huu ubingwa ni wa Man Utd japo it's not over till it's over..............Inaniuma sana nikifikiria...........
 
...Damn, Game ya leo imetawaliwa na Manchester United kuanzia Steve Bruce defensive tactics, Referee na Linesman wake,
I hope Sunderland will be relegated 😛ray:

Together We Stand Wakuu,
it could have been worse, huyu refa angeweza hata kuwapa penalty hawa Sunderland
Sasa ni safari kuelekea Camp Nou!...kuna kila dalili tutashinda, Yes We Can!!!
 
Wakuu ndio mpira bana,so hamna haja ya kuwahukumu ma referee ndio mpira wakuu.....kwa nini sasa mlimuacha Rosicky out????sasa mgeshinda vipi hapo??
 
<p>
Nomaaaaaaaaaaaaa sanaaaaaa, hawa marefa wa premier wanajua kuua duh. Waletwe mchangani mara moja moja tuwatie adabu.
</p>
<p>&nbsp;</p>


Leo ndo unagundua hilo?, ila wakiboronga mechi za Man Utd mnaona sawa tuuu! hahahahaha! kwa mnavojua kuchonga wiki yote hii topic kuu itakuwa kuwaponda marefa wa EPL.
imekula kwenu hyo Gonaz.
 
Wapi wacha1, hongereni kwa point maana ilikuwa mfungwe.yaani hapa bia inashuka ninaposubiri MAN UTD kesho ..........
 
Any ways .. it was a nice foooty from young gooners .. good work lads.. finger crosSed I hope Liverpool will whoop manutd`S A$$$ KESHO :hand::hand::hand::hand::hand::hand:
 
Hahahahahaaaa! mtatia adabu wiki hii, tulipokuwa twalalamika sie mid week na Atkson wetu mkawa mwacheka. Wikend ii zamu yenu. Khe kheeeeeeeee!

Vuka kwanza mto kesho ndo uanze kumtukana mamba(makelele).....Thank God hatujafungwa kama ninyi mid week,tungefungwa ndo tungeweza tia adabu lakini tumeambulia japo kapointi kamoja........Binafsi simlalamikii Refa,nawalalamikia wachezaji wetu
 
<p></p>
<p>&nbsp;</p>


Leo ndo unagundua hilo?, ila wakiboronga mechi za Man Utd mnaona sawa tuuu! hahahahaha! kwa mnavojua kuchonga wiki yote hii topic kuu itakuwa kuwaponda marefa wa EPL.
imekula kwenu hyo Gonaz.
Man Utd wakati wanalalamika hawa jamaa walisema tumezoea sasa leo they tasted their own medicine.........aaaahaaaah jamani mechi ya barca haiwezi kuwa j3:rain::rain:

 
Mpira mliocheza leo inabidi mlienda kwa barca mbadilishe mchezo,maana mnaweza kuchapwa nyingi kule.....
 
AW, Mbu and Co.
Anzeni kuwawaza Barca na sio us8ng8 wa kibenderana ref. wa leo.
Nasikia Barca wanataka kuwafanyie operation ya busha badala ya mkono. Lol!
 
singalii tena game ipo unfair kinyama.. :A S angry:

...hapana bana, bora kuangalia mwenyewe kuliko kuhadithiwa.
Together We Stand!

Poleni Gunners wenzangu......Ukweli ni kwamba timu yetu haiko kiushindani kivile,game ya leo tumezembea wenyewe,washambuliaji wetu hawako makini hata kidogo.......Tulipewa nafasi ya kumkaribia Man Utd tumechezea.......Naanza kushawishika kwamba mwka huu ubingwa ni wa Man Utd japo it's not over till it's over..............Inaniuma sana nikifikiria...........

...hata Arsene Wenger kabla ya mechi alishatabiri hilo, kwa maamuzi ya marefa hawa,...Bingwa ni Man United tu.
 
Any ways .. it was a nice foooty from young gooners .. good work lads.. finger crosSed I hope Liverpool will whoop manutd`S A$$$ KESHO :hand::hand::hand::hand::hand::hand:
Yaani kesho ni dose tu kwa liverpool yaani ushindi wetu,GLORY MAN UTD
 
Man Utd wakati wanalalamika hawa jamaa walisema tumezoea sasa leo they tasted their own medicine.........aaaahaaaah jamani mechi ya barca haiwezi kuwa j3:rain::rain:


Mkuu ndio hivyo wanasema ma referee sijui nini naona atleast leo wamejionea wenyewe kwa macho yao.....
 
haya mambo ya kuchukua kombe kwa kutarajia wenzio washindwe ni mabaya sana.....hapa sasa sie tunaombea Liver washinde kesho......kila la kheri kwao......
 
AW, Mbu and Co.
Anzeni kuwawaza Barca na sio us8ng8 wa kibenderana ref. wa leo.
Nasikia Barca wanataka kuwafanyie operation ya busha badala ya mkono. Lol!

Manda @ Nuo Camp there will be a correction Arsenal 1 barca 0 ...
 
Poleni Gunners wenzangu......Ukweli ni kwamba timu yetu haiko kiushindani kivile,game ya leo tumezembea wenyewe,washambuliaji wetu hawako makini hata kidogo.......Tulipewa nafasi ya kumkaribia Man Utd tumechezea.......Naanza kushawishika kwamba mwka huu ubingwa ni wa Man Utd japo it's not over till it's over..............Inaniuma sana nikifikiria...........


Pole jirani kwa kudondosha points lakini bado ligi inaendelea, it looks like we might have a chance to gate-crash.
 
Back
Top Bottom