Swali la kizushi;
Hivi ni kwa nini sredi maalum ya Arsenal ina Replies na Views mingi ukilinganisha na Sredi za vilabu vingine vya Bigi foo?...........tehe tehe..........lols
Sticky: Arsenal Special Thread Replies: 10,333
Views: 135,089
Sticky: The Chelsea FC Thread Replies: 5,351
Views: 76,529
Sticky: Man U... Red Devils Hatushikiki Replies: 4,295
Views: 69,705
Sticky: Liverpool FC, Special thread Replies: 2,100
Views: 29,291
Ni kaswali ka kizushi tu wakuu wangu
A few more afternoons like this and Arsenal's wait for a first Premier League title since 2004 is almost certainly going to run into an eighth year!!
Well, Chelsea na Liverpool watawasaidia Arsenal kuchukua ubingwa kwa kuwakandamiza Man U ONLY IF Arsenal watakuwa serious na kushinda mechi zao.
nusu ya hiz post ni utumbo au ziko mahali pasipo pake mfano mzuri ni hii post yako. Majibu mengine unayo mwenyewe i.e. mnaongea sana, washabiki wa timu zingine wanakuja hapa kuwafariji kila mnapokosa vikombe etc etc.Swali la kizushi;
Hivi ni kwa nini sredi maalum ya Arsenal ina Replies na Views mingi ukilinganisha na Sredi za vilabu vingine vya Bigi foo?...........tehe tehe..........lols
Sticky: Arsenal Special Thread Replies: 10,333
Views: 135,089
Sticky: The Chelsea FC Thread Replies: 5,351
Views: 76,529
Sticky: Man U... Red Devils Hatushikiki Replies: 4,295
Views: 69,705
Sticky: Liverpool FC, Special thread Replies: 2,100
Views: 29,291
Ni kaswali ka kizushi tu wakuu wangu
Arsenal can never win the tittle! Wala kumaliza wa pili EPL
nusu ya hiz post ni utumbo au ziko mahali pasipo pake mfano mzuri ni hii post yako. Majibu mengine unayo mwenyewe i.e. mnaongea sana, washabiki wa timu zingine wanakuja hapa kuwafariji kila mnapokosa vikombe etc etc.
Swali la kizushi tangu jf ianzishwe arsenal imechukua kikombe mara ngapi?
nusu ya hiz post ni utumbo au ziko mahali pasipo pake mfano mzuri ni hii post yako. Majibu mengine unayo mwenyewe i.e. mnaongea sana, washabiki wa timu zingine wanakuja hapa kuwafariji kila mnapokosa vikombe etc etc.
Swali la kizushi tangu jf ianzishwe arsenal imechukua kikombe mara ngapi?
Mkuu Consultant, hawa jamaa hawabebeki kirahisi usishangae wakamaliza ligi wakiwa wa 3 au chini ya hapo.
Leo mzee alikuwa amechoshwa kabisa na namna marefa walinyokuwa waki-perform.
[
Goli la Arsenal lilikataliwa na refa bwana Taylor.
Kumbe mlitaka mpewe goal la offside
Nasubiri pics za mtani wangu Wacha1 boy!
Man Utd wakati wanalalamika hawa jamaa walisema tumezoea sasa leo they tasted their own medicine.........aaaahaaaah jamani mechi ya barca haiwezi kuwa j3:rain::rain:
Mpira mliocheza leo inabidi mlienda kwa barca mbadilishe mchezo,maana mnaweza kuchapwa nyingi kule.....
haya mambo ya kuchukua kombe kwa kutarajia wenzio washindwe ni mabaya sana.....hapa sasa sie tunaombea Liver washinde kesho......kila la kheri kwao......
Mkuu ndio hivyo leo wameshindwa kutumia chance yao waliyopewa.....
Swali la kizushi;
Hivi ni kwa nini sredi maalum ya Arsenal ina Replies na Views mingi ukilinganisha na Sredi za vilabu vingine vya Bigi foo?...........tehe tehe..........lols
Sticky: Arsenal Special Thread Replies: 10,333
Views: 135,089
Sticky: The Chelsea FC Thread Replies: 5,351
Views: 76,529
Sticky: Man U... Red Devils Hatushikiki Replies: 4,295
Views: 69,705
Sticky: Liverpool FC, Special thread Replies: 2,100
Views: 29,291
Ni kaswali ka kizushi tu wakuu wangu
Hahahaha!! Kwa sababu kuna wazushi wengi kwenye jamvi lenu mkuu, ukijaribu kuangalia vizuri zaidi ya nusu hizo posts za Arsenal hazina substance zaidi ya khe khe kheeeee nyingi tu!!
nusu ya hiz post ni utumbo au ziko mahali pasipo pake mfano mzuri ni hii post yako. Majibu mengine unayo mwenyewe i.e. mnaongea sana, washabiki wa timu zingine wanakuja hapa kuwafariji kila mnapokosa vikombe etc etc.
Swali la kizushi tangu jf ianzishwe arsenal imechukua kikombe mara ngapi?
Swali la kizushi;
Hivi ni kwa nini sredi maalum ya Arsenal ina Replies na Views mingi ukilinganisha na Sredi za vilabu vingine vya Bigi foo?...........tehe tehe..........lols
Sticky: Arsenal Special Thread Replies: 10,333
Views: 135,089
Sticky: The Chelsea FC Thread Replies: 5,351
Views: 76,529
Sticky: Man U... Red Devils Hatushikiki Replies: 4,295
Views: 69,705
Sticky: Liverpool FC, Special thread Replies: 2,100
Views: 29,291
Ni kaswali ka kizushi tu wakuu wangu
hahah mkuu wewe ulilielewa swali langu...Hahahahaha!! Yaani pamoja na kwamba Arsenal hawajachukua kombe tangu JF ianzishwe lakini bado wanaongoza kwa posts za kizushi, itakuwa vipi wakichukua kombe?!