Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Noma sana kwenda half time bila goli. Sunderland wamenitupa uhuru sema sie wenyewe tumeshindwa kutumia nafasi zetu na tunaweza kujuta.

...worry you not mkuu, kuna kajitabia ka wachezaji wetu kulemaa halafu wana chase the game,...wakishafungwa wanapata wake up call, tatizo mazoea mabaya...kuna team wakishafunga moja wana "park-a-bus" golini kwao.

Arsene Wenger kaanza na 4-5-1, ...sijui kusudio lake lilikuwa nini, ...I hope 2nd half tutaona mabadiliko/matunda ya 1st half formation... it's a Roller Coaster maazee, lets enjoy the ride.

45 mins to go.........

...'tick-tok-tick'...keep on counting Navoyne 🙂

Bundi leo lazima atue Emirata....

...e bana wee, hizo dua zako hizoo?...! ha ha ha
 
"Rambo" is warming Up :msela:...change to 4-4-2 formation maybe...
 
Ukiangalia timu ya leo si ya kucheza na Barcelona, Arsenal inabidi waongeze kasi ya mchezo.

Labda mzee Wenger amewaambia wasicheze sana.
 
...worry you not mkuu, kuna kajitabia ka wachezaji wetu kulemaa halafu wana chase the game,...wakishafungwa wanapata wake up call, tatizo mazoea mabaya...kuna team wakishafunga moja wana "park-a-bus" golini kwao.

Arsene Wenger kaanza na 4-5-1, ...sijui kusudio lake lilikuwa nini, ...I hope 2nd half tutaona mabadiliko/matunda ya 1st half formation... it's a Roller Coaster maazee, lets enjoy the ride.



...'tick-tok-tick'...keep on counting Navoyne 🙂



...e bana wee, hizo dua zako hizoo?...! ha ha ha

Kinachoboa mkuu timu yetu hipo so relaxed, hatujui ku-push for a win. Wako wako tu kama hawana malengo yoyote.
 
What's happening to Abou Diaby football Skills, God Knows....🙁
 
Ukiangalia timu ya leo si ya kucheza na Barcelona, Arsenal inabidi waongeze kasi ya mchezo.

Labda mzee Wenger amewaambia wasicheze sana.

Wasicheze sana kivipi mkuu? Manake hii game ni muhimu kuliko ya Barcelona jinsi ninavyoona mimi.


Hawa wachezaji wanaoletwa kunapotokea majeruhi wanatakiwa wa step up wamezidi ku-relax. Hawachukulii kama ndio nafasi yao ya ku-shine hili wamsumbue Wenger akili kwenye kupanga list. Wameridhika na kuwa bench labda.
 
Ukiangalia timu ya leo si ya kucheza na Barcelona, Arsenal inabidi waongeze kasi ya mchezo.

Labda mzee Wenger amewaambia wasicheze sana.

Kinachoboa mkuu timu yetu hipo so relaxed, hatujui ku-push for a win. Wako wako tu kama hawana malengo yoyote.

...ndio "Wenger-Ball" hiyo wazee...
I hope Chamakh atatuibua kidedea.
We really miss Fabregas penetration skills, Van Persie pale kati, na Theo Walcott kwenye flanks, but life should go on!
 
Wasicheze sana kivipi mkuu? Manake hii game ni muhimu kuliko ya Barcelona jinsi ninavyoona mimi.


Hawa wachezaji wanaoletwa kunapotokea majeruhi wanatakiwa wa step up wamezidi ku-relax. Hawachukulii kama ndio nafasi yao ya ku-shine hili wamsumbue Wenger akili kwenye kupanga list. Wameridhika na kuwa bench labda.

Timu hii ina wachezaji ambao "sometimes are not up for a task" na tactically mzee Wenger huwa anakosea kupanga. Bendtner alitakiwa akae bench na Chamakh angeanza, kungekuwa na goli pale first half.

Usisahau Steve Bruce alikuwa mchezaji wa Sir Alex Ferguson pale Man United kwahio wana keep contact na lazima wamepeana tips how to stop Arsenal today.
 
sunderland wanacheza physical game.. bana utafkiri wapo final
 
Damn, huyu dogo 'Welbeck' toka Man United nuksi!
 
Huyu kipa wao vipi? lol dogo naona anataka ku-keep namba nio mambo tunayosema ukipewa nafasi tumia.save nzuri sana.
 
Naona leo imekuwa ngumu kwenu,ila ni kuomba mungu tu mambo yawe kama yalivyo.....maana kwenye timu hiyo akikosekana Fabregas,Walcot na Van naona inakuwaga slow kimtindo......
 
...mtambaa Panya umewaokoa, mnh!...
angalau team ina uhai kidogo,...
 
Chamakh anagonga mwamba! Cross nzuri ya Wilshere inapotea bure.

Jack Wilshere na Samir Nasri wanapika mashambulizi lakini wapi bwana Sunderland wanaangalia sare zimebakia dakika 15.
 
Back
Top Bottom