Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Thomas Rosicky anambadilisha Vasiriki Diaby zimebaki dakika 13.
 
Chamakh anagonga mwamba! Cross nzuri ya Wilshere inapotea bure.

Jack Wilshere na Samir Nasri wanapika mashambulizi lakini wapi bwana Sunderland wanaangalia sare zimebakia dakika 15.

Wenyewe hao sunderland naona hapo wanaomba mungu tu hata droo....hata Arsenal pia haha
 
Rosicky bana, siku ile nilidhani kaumia msimu mzima, kumbe gelesha *****?...haya bana, labda tutaona matunda yake leo.
Pheeewwww, thanks Asamoah Gyan katoka, sijui ni Arsenal fan huyu? leo hakufurukuta sana.
 
Wilshere naona anachechemea mguu wake wa kulia kwenye ngoko kuna tatizo.
 
singalii tena game ipo unfair kinyama.. :A S angry:
 
Yaani hii draw ni blow kwetu sisi......kama itatokea....
 
Angali sasa mshika kibendera anasema Arshavin yupo offside, hawa marefa ni wa ajabu sana.

Arshavin alikuwa clear kabisa na lile lilikuwa ni goli.
 
...that's tight guys, offside? nooo!
Refa anaumaaa bana!
 
Nomaaaaaaaaaaaaa sanaaaaaa, hawa marefa wa premier wanajua kuua duh. Waletwe mchangani mara moja moja tuwatie adabu.
 
Refa.. Ametumaliza.. Gooners ushindi ulikuwa wetu!! penalt ya wzi kabisa kabana
 
Duu wakuu naona imelala kwenu leo....lakini ndio mpira bora droo kuliko kupoteza
 
Daah jamani msaidiwaje..............ila u dont deserve to win anything this season if ur playing like that,come on bring on BARCELONA.
Mbu niaje mkuu pole sana what a blow to title race.
 
Back
Top Bottom