Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo arsenal mmecheza game la kuvutia tangu nmewajua ila bahati haikuwa yenu 😁😁
 
Haina haja ya kusononeka , yalitarajiwa haya. Tujipange kupunguza idadi ya magoli pale Manchester.
 
William
officialsoccermemes-___CS4ssYas3JI___-.jpg
 
Kiongozi tangia last season tumepayuka sana humu jukwaani Arsenal kwa kocha huyu na wachezaji hawa hawa bila kumfukuza Arteta na kupata kocha bora wa kiwango cha dunia na kusajili Big players(nasisitiza Big players) Arsenal kuna siku itashuka Daraja,wengine wakasema sisi Mamluki, mfano unampaje Smith Row jezi namba 10 ukiaminisha kuwa ana majukumu ya kuibeba Arsenal seriously?wametajwa kina Madisson mara kibao unaenda kumbeba Odeegard ambaye Real Madrid hata namba hapati?nani kaangalia Bissouma alivyocheza jana?jamaa kajipendekeza sana Arsenal lakini wapi!unaendaje kutoa hela ndefu kwa Ben White wakati una Saliba anazurura kwa mkopo na Arsenal alitoa hela ndefu kumnunua?fine unalipaje hela ndefu kwa Ramsdale kuwa kipa wa akiba? ,wajanja tuliona Edu,Kroenke na Arteta(anayejifanza mdogo wake Pep)kuna janga kubwa wanataka kulileta Arsenal, Aaron akasepa zake Manchester City Dully hata hajulikani alipo kapiga kimya,nikaona PSG si ipo na wapo serious tatizo lipo wapi mimi kuhama Arsenal fasta ,naingia humu kuwajulia hali ndugu zangu next Saturday ni Manchester City (Grealish,Sterling, Mahrez)jamani jamani jamani acha niishie hapa
Weka sawasawa hivi, unasajili Ramsdale ambaye kashashuka na timu mbili mfululizo halafu utegemee wewe ubaki EPL??
Mwaka huu siona timu ya tatu itakayoshuka daraja isipokuwa Arsenal. Timu mbili tayari zinajulikana za kushuka daraja ambazo ni Norwich na Arsenal, yatatu tusubiri ligi iendelee
 
Mikel Arteta: "Chelsea were too good for us today. They have world class players and world class organisation. That's why they are the European Champions."
Mechi itakayofuata jumamopsi ijayo atasema pia hivi

Mikel Arteta: "Man City were too good for us today. They have world class players and world class organisation. That's why they are Premium League Champions."
 
May be time will come and the team will start to win but in no way that will mean Arteta is a fine coach for a club like arsenal.

Kuna baadhi ya makosa yanakuwa hayana way out, wewe fikiria tu. Jamaa amekuja kama kocha and within no time eti amekuwa Manager, alarm bell ikaanza kulia pale pale.

How in hell would you let someone like Guendouzi leave and instead sign Lukonga?? Tunaangalia vitu gani haswa huwa?? Hahaahah
Sio Hilo tu bro, unasahau jingine la kushangaza. anamuondosha William Saliba then anamuacha Pablo Mari kutuaminisha hakukosea kumsajili.
 
Back
Top Bottom