Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jana nilimuonea huruma Arteta, alivyokuwa ameinamisha kichwa chini.

Next mechi anakutana na mwalimu wake Pep, hiyo mechi Arteta aingie na mfumo wa 343 ulinzi shirikishi.

Arteta Acopy na kupaste TT tactics 343 zilizomfunga pep mechi 3 mfulilizo.

Arteta Akijidanganya aingie na 433, pep atampiga risasi ya kichwa mbele za watu
Unataka 3-4-3 una wachezaji wanaoweza kuwa flexible kucheza huo mfumo ?
 
20210823_084326.jpg
 
Hziyech22 itakua umeruka pages nyingi so haujaona nilichoandika.

Chelsea haishindi kwakua ina world class players. Inashinda kwa sababu ina morali na inacheza as a unit. Wachezaji mlionao jana ndiyo walikuepo kipindi cha Lampard kipindi cha suluhu, walikuepo Arsenal alivyoshinda mara ya kwanza na ya pili na ya tatu, walikuepo wakati West bromwich anaifunga chelsea 5.

Kwa mechi za jana tu kuna timu nyingi zina world class players na zimesuluhu, juzi zipo zilizofungwa. Kwa maoni yangu morali na timu nzima kua in a fluid movement ndiyo kinapelekea ushindi. Arsenal kwa sasa haipo hivyo, lakini ni ngumu kocha kukiri timu yake haina morali.
Unataka kuniambia Kante, Pulisic,Mendy, Jorginho, Lukaku, Ziyech, Mount n.k wanabebwa na morali na si kwa ubora?
 
Unataka kuniambia Kante, Pulisic,Mendy, Jorginho, Lukaku, Ziyech, Mount n.k wanabebwa na morali na si kwa ubora?
Kwani si kikosi hichi hichi ndiyo kilifungwa na Arsenal?🙄🙄🙄🙄

Ukimtoa lukaku?

Si hicho hicho kimetembelea suluhu na kufungwa tano?

Mbona unakua mgumu kuelewa?
 
Jana nilimuonea huruma Arteta, alivyokuwa ameinamisha kichwa chini.

Next mechi anakutana na mwalimu wake Pep, hiyo mechi Arteta aingie na mfumo wa 343 ulinzi shirikishi.

Arteta Acopy na kupaste TT tactics 343 zilizomfunga pep mechi 3 mfulilizo.

Arteta Akijidanganya aingie na 433, pep atampi

Jana nilimuonea huruma Arteta, alivyokuwa ameinamisha kichwa chini.

Next mechi anakutana na mwalimu wake Pep, hiyo mechi Arteta aingie na mfumo wa 343 ulinzi shirikishi.

Arteta Acopy na kupaste TT tactics 343 zilizomfunga pep mechi 3 mfulilizo.

Arteta Akijidanganya aingie na 433, pep atampiga risasi ya kichwa mbele za watu
Hiyo 343 Arteta kashacheza toka anachukua FA cup, Tuchel ni km kaicopy tu, mashabiki ya Cheltakoo mengi hayajuhi mpira
 
Kwani si kikosi hichi hichi ndiyo kilifungwa na Arsenal?🙄🙄🙄🙄

Ukimtoa lukaku?

Si hicho hicho kimetembelea suluhu na kufungwa tano?

Mbona unakua mgumu kuelewa?
For sure Lukaku aliongeza ugumu looked unstoppable, ukicheki the first goal ambalo iliopen up a game , players wetu nao umakini confidence ilikuwa zero, ndio maana nasemaga kuna ulazima wa kuwa na Aouar na Odegaard they are comfortable with the ball inasaidia kuwin possession, at least 1-1 HT tungeweza shinda hii game.
 
For sure Lukaku aliongeza ugumu looked unstoppable, ukicheki the first goal ambalo iliopen up a game , players wetu nao umakini confidence ilikuwa zero, ndio maana nasemaga kuna ulazima wa kuwa na Aouar na Odegaard they are comfortable with the ball inasaidia kuwin possession, at least 1-1 HT tungeweza shinda hii game.
Morali na confidence kwenye timu ni bonge la ishu. Kocha alazimishe mid na forwards kushuti wakiwa nje ya 18.
 
Sio Hilo tu bro, unasahau jingine la kushangaza. anamuondosha William Saliba then anamuacha Pablo Mari kutuaminisha hakukosea kumsajili.
EXACTLY! EXACTLY bro.

Yaani kwa kuwa Pablo Mari kamsajili yeye basi anataka kuiaminisha dunia kwamba hakukosea. His friendship na Mari huko Man City ndio kilikuwa kigezo kikubwa cha Mari kusajiliwa Arsenal.

Arteta is Crap. Na wale waliokuwa wakimsifia humu jukwaani ambao sasa wamelikimbia jukwaa I wish wasirudi humu wajinga wakubwa. Tulikuwa tukiwaambia humu wanatuona sijui nini.
 
Mkuu ninyi mtamlaumu Arteta tu. Anzeni na wachezaji wenu. Arteta hawezi pata ushindi na hawa watoto mnaowasajili ovyo ovyo. Then upate matokeo Epl eti Rowe anategemewa afunge chelsea au mansity na kapewa namba 10 ivi ni kweli?

Arsenal mnadhalilisha hizi jezi zenu. Mtu kama Lokonga eti anapewa majukumu mazito ya kucheza mido kweli acheni utani. Mnamuonea Arteta tu. Tena nawaambia hata mkimpata kocha mzuri kiasi gani na mkaendelea na hawa wachezaji wenu mtesa tu hatuna kocha
Sasa mkuu ni nani aliemleta Lokonga na kumfukuza Guendouzi?? Ambae ni fighter haswa??

Nani anaewasajili kina Tavares??? Angalia usajili wa Unai ulivyokuwa.
 
Back
Top Bottom