Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Vinabo niliowataja ndiyo wanatulambisha mchanga sasa kama mimi mzururaji wa Tz naweza wapoint wachezaji hatari wa timu pinzani hii chapati inashindwaje?
 
Mhhh ngoja tuangalie Mpira!Team PSG!heee la 2 hilooooooo narudia mpaka August 28 hili jukwaa litabaki na shabiki 1 wa Arsenal wengi watapotea humu!nliandika last week inahitaji uwe na degree ya Mirembe kuamini tutanfunga Chelsea na Manchester City after kupigwa na Brentford
Team PSG !tukiongea facts tunaambiwa sisi Mamluki haya wengine tunakuja humu kuwajulia hali zenu tu muda huu tushacheza jana
 
Team PSG !tukiongea facts tunaambiwa sisi Mamluki haya wengine tunakuja humu kuwajulia hali zenu tu muda huu tushacheza jana
Screenshot_20210822-190714_Chrome~2.jpg
 
Back
Top Bottom