ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,056
May be time will come and the team will start to win but in no way that will mean Arteta is a fine coach for a club like arsenal.
Kuna baadhi ya makosa yanakuwa hayana way out, wewe fikiria tu. Jamaa amekuja kama kocha and within no time eti amekuwa Manager, alarm bell ikaanza kulia pale pale.
How in hell would you let someone like Guendouzi leave and instead sign Lukonga?? Tunaangalia vitu gani haswa huwa?? Hahaahah
Mkuu ninyi mtamlaumu Arteta tu. Anzeni na wachezaji wenu. Arteta hawezi pata ushindi na hawa watoto mnaowasajili ovyo ovyo. Then upate matokeo Epl eti Rowe anategemewa afunge chelsea au mansity na kapewa namba 10 ivi ni kweli?
Arsenal mnadhalilisha hizi jezi zenu. Mtu kama Lokonga eti anapewa majukumu mazito ya kucheza mido kweli acheni utani. Mnamuonea Arteta tu. Tena nawaambia hata mkimpata kocha mzuri kiasi gani na mkaendelea na hawa wachezaji wenu mtesa tu hatuna kocha




