Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

RunForTheBus1.png


...Ooooppssss!, Belo tumemuacha wapi???

 
simchezo kweli fainali fainali tu haijalishi kombe gani lol.


No, sababu hasa ni kwamba hamjachukua kombe muda mrefu ndio maana uko under pressure, relax. Ndio maana Wacha hawi live hapa jamvini hata siku moja, such a gutless guy!
 
The only guy ambaye bado anazingua ni Rosicky......Hayupo accurate kwenye pasi anazotoa....Si mzuri kwenye kusaidia kukaba....hajiamini sana,,,Ila the rest naona wanaperform Good...Arshavin and Jack wamepata good game in this 1st half.....nasri safi....na RVP was Superb....Huku nyuma Clichy has been doin well...Djorou na KOS naona wameshasomana.....Good Job....Tatizo ni moja ambalo halizibiki...UREFU WA lile Jamaa lao....Ndo ivo Maumbile tena...But we will win.....
 
Hizi mechi huwa zinanishinda mkuu, mipigo ya moyo ilikuwa inakwenda mbio sana lol.

Mkuu bado Taifa la Tanzania linakuhitaji...ukiona moyo unaenda mbio sana ni bora kuzima TV au kuondoka kwa dakika chache. Nakumbuka mimi enzi zile za Michael Jordan & Da Bulls nilikuwa na tatizo hilo sana hasa zile za dakika za mwisho kwenye zile mechi kali sana dhidi ya New York Knicks, Phoenix Suns (Barkley & Co), Utah Jazz, Detroit Pistons, LA Lakers n.k. Nilikuwa ama nazima TV au naondoka kwa dkk chache na hii ilisaidia sana katika kupunguza mapigo ya moyo.... Huku kupenda nako mhhhhhhh!....ni hatari sana.
 
Mkuu bado Taifa la Tanzania linakuhitaji...ukiona moyo unaenda mbio sana ni bora kuzima TV au kuondoka kwa dakika chache. Nakumbuka mimi enzi zile za Michael Jordan & Da Bulls nilikuwa na tatizo hilo sana hasa zile za dakika za mwisho kwenye zile mechi kali sana dhidi ya New York Knicks, Phoenix Suns (Barkley & Co), Utah Jazz, Detroit Pistons, LA Lakers n.k. Nilikuwa ama nazima TV au naondoka kwa dkk chache na hii ilisaidia sana katika kupunguza mapigo ya moyo.... Huku kupenda nako mhhhhhhh!....ni hatari sana.



Hahahahaha! Lakini hata akizima TV haibadili kitu uwanjani. Labda ajaribu pia kukaa mbali na JF kama Wacha kila Arsenal wakicheza.
 
Ahsante, naona kibendera kawatoa leo!

Yeah Man :majani7: ,

...ile haina ubishi bro. Maana ni straight Red na Penalty juu...halafu fikiria Almunia ndio angekuja kukaa golini, arrghhh...
 
Hahahahaha! Lakini hata akizima TV haibadili kitu uwanjani. Labda ajaribu pia kukaa mbali na JF kama Wacha kila Arsenal wakicheza.


LOL! sikusema kama inabadili matokeo ya mchezo bali kupunguza mapigo ya moyo ili yarudi kawaida maana yakipanda sana ni hatari.
 
...mnh, kwa kusema ukweli, possession yetu leo mbofu mbofu sana. Hakuna mashambulizi ya mpangilio unaoeleweka.
Huyu Alex Song anatakiwa anyoe ndevu na kuondoa hayo marangi kama ya Xavier wa Liverpool. He's losing it!

Arshavin naye kuna mchezo anaufanya unamharibia mpira wake kwa sasa, sijui ni ile bid ya World Cup Russia 1218?
Anyway,...heri ya nusu shari...
 
Back
Top Bottom