Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,317
- 7,738
Mkuu nisaidie kishangaa, nikisema washabiki wa Aseno hawana tofauti na wafuasi wa uvccm natukanwa, kuna tofsuti gani hapo???Maisha yanaenda kasi sana yaan mwez wa 8 mwaka jana kwenye hilihili jukwaa tuliambiwa Partey ndo anakuja kukatamzizi wa fitna leo napita hapa Partey yuleyule anaonekana c chochote c lolote??
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app