Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 32,006
- 64,047
Ufaransa inachukua kombe Giroud kafunga magoli mangapi?Acha kumfananisha Giroud na vitu vya kijinga Giroud anakuwa mfungaji bora Europa ndio sababu ya kuitwa team ya taifa kila gemu anaweka hadi fainali kwanini asicheze ufaransa kutocheza Chelsea ni mahitaji ya kocha kwa wakati huo,mpaka sasa Giroud anayo magoli 6 champions league lakini kayapata group stage ndio mechi alizo cheza ni washambuliaji wangapi walimpita ?jibu ni ni Haland pekeyake ,Narudia Giroud ni mashine