Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakati una mlaumu Arteta,kumbuka Chelsea sio wenzako msimu umeanza wekampa Lampard pound mil 200,sisi Arteta tulimpa kiasi gani,zaidi ya kununua wachezaji wa mafungu (Sagulasagula).

Chelsea walimfukuza Lampard sababu alikuwa ana stahili kufukuzwa,pamoja na kupewa kila kitu ila yy alishindwa kudeliver,so tatizo sio Arteta tatizo ni huyo Kroenke na ubahili wake.Arsenal hata ukimfukuza Arteta bado matokeo yata kuwa ni yaleyale sababu usajili tunafanya kiubahili,mpe mtu hela hata akishindwa tuna sababu ya kumfukuza la sivyo tukiendelea hivi tutakuwa watu wa kufukuza makocha kila siku wakati tatizo wamiliki ni wabahili.
Wachezaji wa Leicester au West Ham United na wa Arsenal ni wapi wenye gharama au thamani kubwa?
 
Huu uzi unatakiwa kushushwa huko chin ..


Mods hizi timu zinazocheza Europa ,hazitakiwa ku pin nyuzi zao huku juu kwa wanaume was CL ..


Hii timu inatakiwa kushuka chini huko
Hehehehe
Screenshot_2021-05-06-19-57-22-41.jpg
 
Wachezaji wa Leicester au West Ham United na wa Arsenal ni wapi wenye gharama au thamani kubwa?
Kuna factors nyingi za timu kushinda. Most ni morali ya timu, sasa ukiiangalia Leicester na West Ham kwa misimu minne nyuma timu gani ina morali katika hizo timu tatu?

Na hata msimu huu klabu haina mentality ya ushindi na morali hairidhishi.
 
Jamani wana Arsenal, tunapokutana sisi wana Arsenal hapa jukwaani tuna kuwa kama ndugu, achilia wale wengine ambao kwa heshima ya andiko hili, I wouldn’t like to call them names.

It is about two or three months ago we have lost our colleagues; I mean two staunch Arsenal supporters who were always here sharing with us ups and downs of our team. To be specific I mean AaronArsenal and Dully jr, Bahati mbaya tunapokuwa hapa we hide our identities.
Kwa mapenzi ya timu waliyokuwa nayo, Definitely, they are in distress in one way or another, hakuna
sehemu Tanzania utakaa ukakosa access ya internet, hata ya edge??? Ingekuwa enzi zile za brigade ya DAB bado ina exist I would have worried. Nakumbuka niliwahi kufanya biashara na Aaron, unfortunately siku-save namba yake
Naomba nijitwishe jukumu, on behalf of JF Arsenal, tunawaombea kila la heri huko mlipo. Kama mnatapata muda wa kusoma hii post,tuna wamiss sana.
We believe Arsenal will bounce back, and we shall see you again, Amen

Mkuu sijakuelewa juu ya hawa member wenzetu na ulichoandika. Huko juu unasema we lost our colleagues... kua wameenda wapi? Naomba ufafanuzi
 
Wachezaji wa Leicester au West Ham United na wa Arsenal ni wapi wenye gharama au thamani kubwa?
Huwezi fananisha Arsenal na Leicester au West Ham hazifanani,kwenye kila kitu sababu kiuchumi Arsenal ipo vizuri kuliko hizo timu so hao Leicester / Weat Ham wamesajili kutoka na uwezo wao pamoja na kufanya vizuri,ila hawana mwendelezo hao unaweza ukawaona wapo top 4 ila wakakaa misimu mingine mitano au zaidi usiwaone.

Kwa uchumi alikuwa nao Arsenal hatakiwi kuwa mtu wa kubahatisha kama West Ham au Leicester kama ikitokea basi bahati mbaya kama ilivyo kwa Liver au hata Man Utd .

Sisi tunatakiwa tu-spend kama ilivyo kwa Man City,Chelsea,Utd,Liver na Spurs sababu mapato ya club yetu ni makubwa yana ruhusu huwezi kutufananisha na Leicester au West Ham hatufanani.

Arteta mtampa lawama kwani hata akija mwengine kama tuta endelea na ubahili tutamfuza tu,wakati tatizo lipo kwa wamiliki.

Unataka mambo makubwa halafu hela unayo iweka ni ndogo wakati hela unayo,unategemea bahati kweli kwenye mpira kuna bahati ila % ni ndogo approximately = 0.

Ratiba ya leo ya mashabiki.
E0ttubIXEAwG6GP.jpeg
 
Xhaka hata sub hayupo.

Kiukweli sina amani na kikosi na formation
 
Villarreal wakiendelea kucheza wanavyocheza inaweza ikasaidia
 
Wenzangu mnaona mbinu? Kufosi? Zaidi ya sideway passes back passes na krosi?

Dakika zaidi ya tano mchezaji wako hatari kabisa hajagusa mpira.

Hiki nini jamani?
 
Huwezi fananisha Arsenal na Leicester au West Ham hazifanani,kwenye kila kitu sababu kiuchumi Arsenal ipo vizuri kuliko hizo timu so hao Leicester / Weat Ham wamesajili kutoka na uwezo wao pamoja na kufanya vizuri,ila hawana mwendelezo hao unaweza ukawaona wapo top 4 ila wakakaa misimu mingine mitano au zaidi usiwaone.

Kwa uchumi alikuwa nao Arsenal hatakiwi kuwa mtu wa kubahatisha kama West Ham au Leicester kama ikitokea basi bahati mbaya kama ilivyo kwa Liver au hata Man Utd .

Sisi tunatakiwa tu-spend kama ilivyo kwa Man City,Chelsea,Utd,Liver na Spurs sababu mapato ya club yetu ni makubwa yana ruhusu huwezi kutufananisha na Leicester au West Ham hatufanani.

Arteta mtampa lawama kwani hata akija mwengine kama tuta endelea na ubahili tutamfuza tu,wakati tatizo lipo kwa wamiliki.

Unataka mambo makubwa halafu hela unayo iweka ni ndogo wakati hela unayo,unategemea bahati kweli kwenye mpira kuna bahati ila % ni ndogo approximately = 0.

Ratiba ya leo ya mashabiki.
View attachment 1775754
Lawama anabeba yeye nyingi sana mfano Last week dhidi ya Villareal alianza bila mshambuliaji utamlamu kroenke au Arteta?ok fine kwenye ishu ya red cards utamlaumu Kroenke au Arteta?tangia Wenger aondoke tumemsajili Pepe,Gabriel,Mari,Thomas,Tierney,Leno na wote hao wanachezea timu zao za Taifa sasa tunataka usajili gani?na nlikuuliza hilo swali sababu hao wachezaji nliowataja ni wana viwango bora sana toka huko walipotoka but baada ya kuja Arsenal nini kimefuatia?
 
Back
Top Bottom