Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Narudia kukwambia ukiachana na Kroenke Arteta ametumwa kuja kuikandamiza Arsenal kiuthamani na mambo yote yale miaka 26 Arsenal haijawah kukosa nafasi ya kucheza michuano ya ulaya ila kwa Arteta tunaendelea kuhesabu dk
Ndio uwezo wachezaji wetu umeishia hapo msimu ujao hata Europa hatumo,Arteta hajatumwa bali ubahili wa wamiliki unaendelea kutugharimu.

Nashukuru mechi nimeifuatilia livescore na tushukuru Mungu ile super league haipo lakini kama wazo la Perez lingefanikiwa tungechapika mechi zote tena vipigo heavy.
 
Ivi arsenal ni lini mtafurahisha mashabiki wenu? Sisi washabiki wa arsenal kila siku huzuni tuh mpk lini? Yaan game ya leo imeniuma kinoma bç tuh. Ivi wachezaji awawezi kucheza kufa na kupona kabisa ? Why? Najuta kuwa shabiki wa arsenal. NAJUTA!
 
Wakati lampard anafukuzwa Chelsea utaona ni jinsi gani Big teams zisipopata matokeo hazisiti kuchukua hatua ngumu ili kunusuru club but Arsenal mpaka sasa nashangaa Arteta bado unasema ana plan ya kumtumia Guendouz,Chelsea huyu mbovu leo anaingia championsleagueFinal sababu ni moja tu KOCHA ni mzuri na wachezaji aliokuwa nao Lampard na wakawa hawapati matokeo kwa Tuchel wameingia final nilitegemea kuona huu ndio mwisho wake msimu huu sababu hana uwezo wa kuimanage Arsenal kwa mtindo huu acha tuhamie Manchester City tuondoe stress kama Arteta msimu huu nafasi atakayomaliza kubwa ni ya 8 unategemea tutaingia top 4 next season?kwa wachezaji hawa ?kocha huyu?misimu miwili mfululizo top 6 hajafika hyo top 4 atafikaje?Fuc**** Arsenal
Nakuelewa sana bro
 
Ivi arsenal ni lini mtafurahisha mashabiki wenu? Sisi washabiki wa arsenal kila siku huzuni tuh mpk lini? Yaan game ya leo imeniuma kinoma bç tuh. Ivi wachezaji awawezi kucheza kufa na kupona kabisa ? Why? Najuta kuwa shabiki wa arsenal. NAJUTA!
MKUU USILIE, TUTAKUSAIDIA KUKUPIGIA MWANAUME WAKO HUYU KWENYE FAINALI NA KOMBE TUTABEBA. NADHANI UTAFURAHI SANA KOMBE KUBAKI UINGEREZA.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kila kocha ameishamsoma mwenzake, anaingia uwanjani kwa kukamia, Nina hakika villareal watatumia dakika 30 za kwanza kutafuta goli, it is during this moment tunawapiga mbili za haraka haraka. To be safe lazima tuwapige tatu, kwa sababu wakipata away goal, shughuli itakuwa ngumu.
Duh!
 
Back
Top Bottom