momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,041
- 2,140
Hii mechi hawa Villarreal wana nafasi ya kushinda wako comfortable Sana.
Kucheza timu ya taifa sio kwamba wana kiwango bora bali ndio machaguo walio nayo kwa mda huo na hawana jinsi timu ya taifa sio club.Lawama anabeba yeye nyingi sana mfano Last week dhidi ya Villareal alianza bila mshambuliaji utamlamu kroenke au Arteta?ok fine kwenye ishu ya red cards utamlaumu Kroenke au Arteta?tangia Wenger aondoke tumemsajili Pepe,Gabriel,Mari,Thomas,Tierney,Leno na wote hao wanachezea timu zao za Taifa sasa tunataka usajili gani?na nlikuuliza hilo swali sababu hao wachezaji nliowataja ni wana viwango bora sana toka huko walipotoka but baada ya kuja Arsenal nini kimefuatia?
Nimesema hao wanachezea timu za taifa ambazo duniani zipo top 50 hvyo sio wachezaji wa kitotoKucheza timu ya taifa sio kwamba wana kiwango bora bali ndio machaguo walio nayo kwa mda huo na hawana jinsi timu ya taifa sio club.
Kuwa top 50 si kigezo je ukiwapima mmoja mmoja wana ubora,manake unacho maanisha sababu Ufaransa walichukua kombe la dunia basi timu nzima wachezaji wote ni bora including Giroud,Ureno imechukua Euro mwaka juzi haimanishi wachezaji wote ni bora.Nimesema hao wanachezea timu za taifa ambazo duniani zipo top 50 hvyo sio wachezaji wa kitoto
Well said, mkuu una akili kubwa sana..Wakati lampard anafukuzwa Chelsea utaona ni jinsi gani Big teams zisipopata matokeo hazisiti kuchukua hatua ngumu ili kunusuru club but Arsenal mpaka sasa nashangaa Arteta bado unasema ana plan ya kumtumia Guendouz,Chelsea huyu mbovu leo anaingia championsleagueFinal sababu ni moja tu KOCHA ni mzuri na wachezaji aliokuwa nao Lampard na wakawa hawapati matokeo kwa Tuchel wameingia finalnilitegemea kuona huu ndio mwisho wake msimu huu sababu hana uwezo wa kuimanage Arsenal kwa mtindo huu acha tuhamie Manchester City tuondoe stress kama Arteta msimu huu nafasi atakayomaliza kubwa ni ya 8 unategemea tutaingia top 4 next season?kwa wachezaji hawa ?kocha huyu?misimu miwili mfululizo top 6 hajafika hyo top 4 atafikaje?Fuc**** Arsenal

SAFII..AKILI KUBWA NYINGINE HII.Huu uzi unatakiwa kushushwa huko chin ..
Mods hizi timu zinazocheza Europa ,hazitakiwa ku pin nyuzi zao huku juu kwa wanaume was CL ..
Hii timu inatakiwa kushuka chini huko





NIPOO MKUU...NAONA WAMESHAANZA KULAUMIANA LAUMIANA HAPA KABLA HATA MPIRA HAUJAISHA























































































































Huko walipotoka mbona walikuwa wana ubora?Torreira Pepe Gabriel Tierney Xhaka Leno Partey hao wote huko walipotoka walikuwa bora sana why wamekuja kufia viwango vyao Arsenal?Kuwa top 50 si kigezo je ukiwapima mmoja mmoja wana ubora,manake unacho maanisha sababu Ufaransa walichukua kombe la dunia basi timu nzima wachezaji wote ni bora including Giroud,Ureno imechukua Euro haimanishi wachezaji wote ni bora.
NIPOO MKUU...NAONA WAMESHAANZA KULAUMIANA LAUMIANA HAPA KABLA HATA MPIRA HAUJAISHA
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app



























