Yaani hawa wapuuzi wametufanya siku hizi tuwe washika manati wa London.Gundu lenu iliView attachment 1762860
computerarsenal njoo uishabikie Chelsea huku ni kula kuku kwa mrija kwanza boss wetu Abramovic ni mpenzi wa team yake kwake mapenzi mbele pesa inafuata Hana ubahili kabisa kocha asipopata kombe unatimuliwa pesa ya usajili anagawa kama njungu ushindwe wewe tu.Maumivu yamezidi nastaafu kushangilia Arsenal kuanzia leo tarehe 23th April 2021 nasema Nastaafu hichi ni kikundi cha gays kuanzia kocha Kroenke na Arteta (nakumbuka Aaron alimtetea sana Arteta zaidi ya sana je bado ana imani nae)
Zaidi ya miaka 25 Arsenal haijawahi kufungwa michezo 13 narudia haijawahi ila Arteta kaweka rekodi na ya kufungwa 4 home straight league kaweka yeye pia
Najiuliza why tulimfukuza Emery?Emery alituacha nafasi ya 8 but tangu Arteta aje 2020 January hadi sasa Arsenal haijawahi kuwa juu ya hapo why?au ilikuwa ni mihemko?
Leo willian kawa mbaya! Nyinyi sindio mlikuwa mnampamba hapa sisi tuliwambia kabisa willian kaenda kupiga mpunga kwenu na ndio maana sisi tulikataa kumuongezea mkataba wa miaka 3 aliyokuwa anatakaSome of Major mistakes of Arteta and Edu bila kumuhusisha Kroenke
(1) Kumuacha Torreiŕa
(2) Kumsjili Willian
(3) Mzozo wa Arteta na Ozil
(4) Kutomsajili Houssem Aouar/ kiungo mshambuliaji na kuwekeza nguvu zote kwa kiungo mkabaji/ Partey. Na katika hili Castr alipiga kelele mnoooooo
Na waliousaini walikua malofa kweli kweliArsenal na timu nyingine watapoteza pound 8m plus undisclosed penalty kwa kujitoa kwenye ESL. Inaelekea aliye-draft ule mkataba wa kujiunga ESL alikuwa mafia, nimesoma sehemu yake.
Wewe na spurs mngeshuka darajaHii Super League kama ingekubalika na club zote,tungechapika sana.



Asee poleni sana bado mna imani na ArtetaArteta kwenye pre-season angejaribu combination ya Guendouz/Torreira, Partey na Creative mid mmoja iwe Odegaad au Aouor(kama watasajiliwa) anaweza kupata something different.