Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
wacha watu wadai timu yao, huyu mwekezaji mpuuzi tu
wacha watu wadai timu yao, huyu mwekezaji mpuuzi tu
Mzee Hunaga kazi ya kufanya?
Achana na Leno kwanza, zungumzia timu kupiga pasi 490+ wakati shot on target 2 na dakika ni 82.Uwa nawaambia nyie takataka wa Arsenal Leno is rubbish lakini kuna takataka hapa asitaki kuamini
Tuendelee kukumbushana ndugu zanguNiliongea last week kuwa Arsenal mpaka sasa natambua haina kocha ila ina baadhi ya wachezaji wazuri na hao wachezaji wakiwa kwemye good Mood ni balaa na wakiwa off Mood hutaamini unachokiona kwenye TV yako but nani wa kulaumiwa?ni Arteta yeye ndiye kakabidhiwa timu ila naona Arsenal inacheza kutokana na experience binafsi za wachezaji hana vision sasa ana tofauti gani na mimi shabiki mfano nkipewa timu?anyway naapa mimi Arsenal akibeba EUROPA league NTAKUNYA kutoka posta hadi Mwenge kwa kikosi hiki trust me!Nawatakia weekend njema wana Gunners wenzangu!kwa ushindi wa Sare wa leo!Natunza Comment yangu!
HahahaahaaTuendelee kukumbushana ndugu zangu





MTAPATA TABU SANAAAMzee Hunaga kazi ya kufanya?
yaani watu wamelala wewe Nyumbu unateseka na Arsenal usiku huu




























































































































































































































Hakuna anayepata tabu, wewe unajichosha bure, haya sisi tumeyazoea miaka na miaka
Pole sanaMatchday vs Everton.
Hii ni second leg. First leg Everton alitupiga 2 kwa 1. Katika hiyo game kila mmoja angeweza kushinda ila Everton aliondoka na ushindi.
Leo tunaingia huku tukiwa na majeruhi Alex, Pierre, Martin, Kieran na David. Wengine hapo ni hawawezi kucheza wakati baadhi wanaangaliwa kama wataweza kuwepo kikosini.
Carlo ni kocha mzuri, ameprove mara nyingi uzoefu wake ni silaha, kafanya hivyo kwa Liva na kafanya hivyo kwa United kisha akafanya hivyo kwetu so ni game tight kimtindo ukizingatia kocha ana kazi ya kuwalinda wachezaji wetu kwaajili ya Alhamisi.
First XI nafikiri itakua vyema beki ikimjumuisha Cedric ili mashambulizi yaanzie nyuma na awepo beki anayeweza kuoverlap ili kutanua uwanja. Game iliyopita Elneny hakua mwiba sana nadhani leo anaweza asianze hivyo awepo Dani na Partey katikati au Granit na Partey.
Forward iwe na Pepe, Saka, Emile na Martinell.
Tukutane saa nne.