Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_20210423-233414_All%20Goals.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hata huyu kocha ajiangalie na aji-assess kama anafit hiyo nafasi, kipindi hiki sio kizuri kwake, jumba bovu la Super league litamdondokea anytime.
 
Uwa nawaambia nyie takataka wa Arsenal Leno is rubbish lakini kuna takataka hapa asitaki kuamini
Achana na Leno kwanza, zungumzia timu kupiga pasi 490+ wakati shot on target 2 na dakika ni 82.
 
Niliongea last week kuwa Arsenal mpaka sasa natambua haina kocha ila ina baadhi ya wachezaji wazuri na hao wachezaji wakiwa kwemye good Mood ni balaa na wakiwa off Mood hutaamini unachokiona kwenye TV yako but nani wa kulaumiwa?ni Arteta yeye ndiye kakabidhiwa timu ila naona Arsenal inacheza kutokana na experience binafsi za wachezaji hana vision sasa ana tofauti gani na mimi shabiki mfano nkipewa timu?anyway naapa mimi Arsenal akibeba EUROPA league NTAKUNYA kutoka posta hadi Mwenge kwa kikosi hiki trust me!Nawatakia weekend njema wana Gunners wenzangu!kwa ushindi wa Sare wa leo!Natunza Comment yangu!
Tuendelee kukumbushana ndugu zangu
 
Fixture ya Arsenal FC katika hii European Super League kwa mwaka huu 2021 ilikua;

1) Arsenal FC VS Juventus.

2) Arsenal FC VS Real Madrid.

3) Arsenal FC VS Barcelona.

4) Arsenal FC VS Inter Milan.

5) Arsenal FC VS Atletico Madrid.

Arteta skin tight ingempwaya.

Kila week timu zingekua zinamlia mingo Arsenal FC namna hii.
Screenshot_20210422-223901_Opera%20Mini.jpg


Bahati yenu European Super League imeingiwa na mchanga.
 
Maumivu yamezidi nastaafu kushangilia Arsenal kuanzia leo tarehe 23th April 2021 nasema Nastaafu hichi ni kikundi cha gays kuanzia kocha Kroenke na Arteta (nakumbuka Aaron alimtetea sana Arteta zaidi ya sana je bado ana imani nae)
Zaidi ya miaka 25 Arsenal haijawahi kufungwa michezo 13 narudia haijawahi ila Arteta kaweka rekodi na ya kufungwa 4 home straight league kaweka yeye pia

Najiuliza why tulimfukuza Emery?Emery alituacha nafasi ya 8 but tangu Arteta aje 2020 January hadi sasa Arsenal haijawahi kuwa juu ya hapo why?au ilikuwa ni mihemko?
 
Matchday vs Everton.

Hii ni second leg. First leg Everton alitupiga 2 kwa 1. Katika hiyo game kila mmoja angeweza kushinda ila Everton aliondoka na ushindi.

Leo tunaingia huku tukiwa na majeruhi Alex, Pierre, Martin, Kieran na David. Wengine hapo ni hawawezi kucheza wakati baadhi wanaangaliwa kama wataweza kuwepo kikosini.

Carlo ni kocha mzuri, ameprove mara nyingi uzoefu wake ni silaha, kafanya hivyo kwa Liva na kafanya hivyo kwa United kisha akafanya hivyo kwetu so ni game tight kimtindo ukizingatia kocha ana kazi ya kuwalinda wachezaji wetu kwaajili ya Alhamisi.

First XI nafikiri itakua vyema beki ikimjumuisha Cedric ili mashambulizi yaanzie nyuma na awepo beki anayeweza kuoverlap ili kutanua uwanja. Game iliyopita Elneny hakua mwiba sana nadhani leo anaweza asianze hivyo awepo Dani na Partey katikati au Granit na Partey.

Forward iwe na Pepe, Saka, Emile na Martinell.

Tukutane saa nne.
Pole sana
 
Back
Top Bottom