Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ukiongelea historia kama muamuzi wa nani awe kocha Arsenal basi hapo inabidi aje Henry. Henry ana historia nzuri kuzidi hao wawili kwa Arsenal. Hoja yako haina mashiko.

Arteta hajavunja ungo? Ndiyo ni kweli. Arsenal ilimtaka Mourinho, akahudhuria mazoezini kisha deal haikufanikiwa, kwa management ya Arsenal inavyotaka kuspend pesa zake ni ngumu kumpata kocha mkubwa ambaye atakua na ustahimilivu wa Wenger.

So Arteta amekua option kwakua yeye anakua na timu iko safarini kufufuka kila mmoja anamhitaji mwenzake. Mawinga wa Citt wote walikua trained na Arteta, yeye ndiyee kamuibua Foden, ndiye amembadilisha Pepe na kumpeleka LW ambapo kapafom vizuri.

Ole amewahi kukuza kiwango cha mchezaji gani?

Ole ameshashusga daraja timu ngapi?

Rais wa Barca, Laporta kasema anamtaka Arteta. Ole amewahi kutakwa na klabu gani?

Arteta amekuza viwango vya makinda na ameachana na deadwoods, Ole kakuza kiwango cha kinda gani? Deadwoods wangapi kaachana nao? Timu iliyovimbiana wachezaji wasio na msaada ni ujanja?
Arteta ni kizungumkuti tu niamini mimi.
Kama tuko hai tutaona, ninani atakae leta maendeleo kwenye timu yake.

Arsenal na Man united matatizo yetu yana fanana, wote tunapigana kurudi kwenye ubora wetu, sasa ngoja tuone nani atakae kuwa wakaanza kuirudisha heshima hiyo.
 
Arteta ni kizungumkuti tu niamini mimi.
Kama tuko hai tutaona, ninani atakae leta maendeleo kwenye timu yake.

Arsenal na Man united matatizo yetu yana fanana, wote tunapigana kurudi kwenye ubora wetu, sasa ngoja tuone nani atakae kuwa wakaanza kuirudisha heshima hiyo.
Tuombe uhai.

NB. Arteta kaahidi makubwa kuanzia msimu wa tatu.
 
Tuombe uhai.

NB. Arteta kaahidi makubwa kuanzia msimu wa tatu.
Mduanzi we, sasa kwa nini unataka Sorkskjaer alete mafanikio kwa haraka?

Hata mimi na mpa kocha wangu misimu mitatu.
 
Mduanzi we, sasa kwa nini unataka Sorkskjaer alete mafanikio kwa haraka?

Hata mimi na mpa kocha wangu misimu mitatu.
Hahaha ole ana muda gani united? Kuhusu mafanikio siyo kwamba mimi nimepanga ni siku anatambulishwa ndiyo alisema hivyo.

Kwani Ole alisema agewe muda gani?
 
Tuombe uhai.

NB. Arteta kaahidi makubwa kuanzia msimu wa tatu.
Huyu mwamba kabeba makombe mawili Arsenal ila kahidi mambo makubwa baada ya misimu mitatu ijayo kila la heri kocha wetu Arteta.

Wewe unaiweza the gunners kulikoni wengine.

Big Up legend wetu!!!
 
IMG_20210323_070836.jpg
 
Siku kama ya leo tuliwalala bao 6 kwa 1 pale Stamford Bridge.
Hakika ni siku ya kukumbukwa sana ...maana tuliwapa kichapo heavy.
Wafungaji alikuwa Mo Salah, Oscar Emboaba, Eden Hazard, Samweli Eto'o, na Somebody Shurrle..

Je mnazungumziaje kipigo hicho?
#CFC

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Arteta kwenye pre-season angejaribu combination ya Guendouz/Torreira, Partey na Creative mid mmoja iwe Odegaad au Aouor(kama watasajiliwa) anaweza kupata something different.
 
Back
Top Bottom