Timu ina majeruhi.Castr still defending Arteta, everyone was surprised alivyopanga timu
Nilitarajia Martinell aanze na Cedric aanze. Kilichotokea ndiyo hichi, timu inacheza ila kutengeneza chances na kuscore mtihani.
Timu ina majeruhi.Castr still defending Arteta, everyone was surprised alivyopanga timu
Mipira inapelekwa upande wa Saka ila Saka hana uwezo, wangebadilishana na PepeUkiangslia vizuri timu inavyocheza, ni Saka tu ndio anaweza kuchezea kwenye kikosi cha virareal
Timu ina majeruhi.
Nilitarajia Martinell aanze na Cedric aanze. Kilichotokea ndiyo hichi, timu inacheza ila kutengeneza chances na kuscore mtihani.
Kwahiyo timu za uingereza zimekuja kucheza tokomile?Unai emery hii ndio michuano yake sasa
Villareal bingwa wa europa
Tarehe 18 niliandika hivi Arsenal akibeba EUROPA league ntakunya Dar nzima na next season Arsenal itashuka vibaya sana nasisitiza ARSENAL HAINA KOCHA ila ina baadhi ya wachezaji wazuriNiliongea last week kuwa Arsenal mpaka sasa natambua haina kocha ila ina baadhi ya wachezaji wazuri na hao wachezaji wakiwa kwemye good Mood ni balaa na wakiwa off Mood hutaamini unachokiona kwenye TV yako but nani wa kulaumiwa?ni Arteta yeye ndiye kakabidhiwa timu ila naona Arsenal inacheza kutokana na experience binafsi za wachezaji hana vision sasa ana tofauti gani na mimi shabiki mfano nkipewa timu?anyway naapa mimi Arsenal akibeba EUROPA league NTAKUNYA kutoka posta hadi Mwenge kwa kikosi hiki trust me!Nawatakia weekend njema wana Gunners wenzangu!kwa ushindi wa Sare wa leo!Natunza Comment yangu!

Arteta kwa sisi tunaoipenda Arsenal tulijua huyu anajifanya Guardiola ila uwezo hana haya sasa Unai anatuaibisha huko na mechi ishaisha hii Arsenal hachomoiKuna page ya Arsenal fb ilisema leo matokeo ni 2:4 naitafuta siioni.Leo utakungutwa mishipa la mkakati mpaka ushangae .
Ngapi huko🤪🤪
Bro kwanini unye lakini?Tarehe 18 niliandika hivi Arsenal akibeba EUROPA league ntakunya Dar nzima na next season Arsenal itashuka vibaya sana nasisitiza ARSENAL HAINA KOCHA ila ina baadhi ya wachezaji wazuriArteta kwa sisi tunaoipenda Arsenal tulijua huyu anajifanya Guardiola ila uwezo hana haya sasa Unai anatuaibisha huko na mechi ishaisha hii Arsenal hachomoi
Kuna page ya Arsenal fb ilisema leo matokeo ni 2:4 naitafuta siioni.
Sasa nilitaka nimuulize kama ndiyo tusubirie magoli ya nne ya Arsenal au alikua anatania wakati anaandika.
Timu inacheza bila namba tisa.
Ila Martinell, Nketiah na Auba wapo benchi.
United atakuwa champions league next season sisi tutakuwa wapi?Bro kwanini unye lakini?
Hivi huoni mashabiki wa united wamehama kwao wapo humu? Unadhani kwanini?
AringeUnited atakuwa champions league next season sisi tutakuwa wapi?
Kuna page ya Arsenal fb ilisema leo matokeo ni 2:4 naitafuta siioni.
Sasa nilitaka nimuulize kama ndiyo tusubirie magoli manne ya Arsenal au alikua anatania wakati anaandika.



You know the truth Arsenal ataumia kwa Mapato kushuka na kutopata good players mchezaji gani wa maana atakuja Arsenal acheze chini ya Arteta?mwenye vision yake?hatakuwepoAringe