Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

I don’t see what Arteta has brought to the team, just frustrating good players.
Arteta ana mtihani.

Ana Europa.

Ana local league.

Ana majeruhi.

Chances tulizokosa jana sioni Arteta anafit wapi kwenye lawama. Kuna timu kocha anakua mbinu zimemuisha ila kinachotokea wachezaji wanaperform kwa uwezo binafsi kutafuta matokeo.
 
Arteta ana mtihani.

Ana Europa.

Ana local league.

Ana majeruhi.

Chances tulizokosa jana sioni Arteta anafit wapi kwenye lawama. Kuna timu kocha anakua mbinu zimemuisha ila kinachotokea wachezaji wanaperform kwa uwezo binafsi kutafuta matokeo.

Muda ule tunafungwa lile goli tulikuwa tumewadhibiti, hata mtangazaji alisema timu inayoonekana kupata goli muda wowote ni sisi, ghafla Leno anafungwa goli ambao alikuwa na uwezo wa kulizuia. Alinichefua sana. Timu inapaki basi, wavute waje ili mpate nafasi ya kupenetrate. Nketiah was not performing why not sub him? Tuna baadhi ya wachezaji ambao often times concentration yao mchezoni inapotea, Partey/Leno
 
Muda ule tunafungwa lile goli tulikuwa tumewadhibiti, hata mtangazaji alisema timu inayoonekana kupata goli muda wowote ni sisi, ghafla Leno anafungwa goli ambao alikuwa na uwezo wa kulizuia. Alinichefua sana. Timu inapaki basi, wavute waje ili mpate nafasi ya kupenetrate. Nketiah was not performing why not sub him? Tuna baadhi ya wachezaji ambao often times concentration yao mchezoni inapotea, Partey/Leno
Nketiah hakua akipokea mipira, alikua anaifuata juu. Emile hakua vyema jana, cut in na kuscore nowhere to be seen, next game Martinell aanze awe LW au CF vyovyote ni sawa tu.
 
Nketiah hakua akipokea mipira, alikua anaifuata juu. Emile hakua vyema jana, cut in na kuscore nowhere to be seen, next game Martinell aanze awe LW au CF vyovyote ni sawa tu.
Anapokeaje mpira wakati wenzake wakiwa wanapiga pass ndani ya 18 au cross yeye yupo nje ya 18 muda wote?unajiitaje wewe ni big team huku mshambuliaji wako ni Nketiah?Arteta alishindwa nini jana kumuanzisha Martinelli CF ?hata kama hachezagi sana hiyo nafasi but Martinelli anapambana na ni mtu wa akili nyingi matokeo yake Nketiah (nsiongee mengi)Arteta anaishusha kwa spidi kali thamani ya Arsenal and I am telling you next season Arsenal chini ya Arteta wakimaliza top 10 ntaomba nilogwe kabisa
 
tapatalk_1607013495445.jpeg
 
Anapokeaje mpira wakati wenzake wakiwa wanapiga pass ndani ya 18 au cross yeye yupo nje ya 18 muda wote?unajiitaje wewe ni big team huku mshambuliaji wako ni Nketiah?Arteta alishindwa nini jana kumuanzisha Martinelli CF ?hata kama hachezagi sana hiyo nafasi but Martinelli anapambana na ni mtu wa akili nyingi matokeo yake Nketiah (nsiongee mengi)Arteta anaishusha kwa spidi kali thamani ya Arsenal and I am telling you next season Arsenal chini ya Arteta wakimaliza top 10 ntaomba nilogwe kabisa
Sababu pekee nahisi Martinell hakuanza ni ili Alhamis awepo, game iliyopita Nketiah ndiye alisawazisha goli. Nafikiri ni right move kumuweka Nketiah pale ili usimrisk Martinell.
Nketiah alipanda juu kufuata mipira kwakua haikua ikienda, aliyetakiwa kumlisha mipira, Emile, hajafanya hiyo kazi jana.

Usilogwe. Tuwekeane dau la pesa.
 
Sababu pekee nahisi Martinell hakuanza ni ili Alhamis awepo, game iliyopita Nketiah ndiye alisawazisha goli. Nafikiri ni right move kumuweka Nketiah pale ili usimrisk Martinell.
Nketiah alipanda juu kufuata mipira kwakua haikua ikienda, aliyetakiwa kumlisha mipira, Emile, hajafanya hiyo kazi jana.

Usilogwe. Tuwekeane dau la pesa.
Mzee huu muda mambo ya kurisk sijui upupu gani ni upumbavu wa hali ya juu kwa timu kama ya Arsenal. Unaweza kurisk pale ambapo kuna sehemu una uhakika na kitu fulani mfano Manchester United Manchester City Chelsea Liverpool hawafanyi mambo ya kutowarisk wachezaji wao sababu kila kikombe au kuna nafasi wanaitaka lazima wachezaji wapambane na pia sisi hata hiyo Europa hatuna uhakika nayo kila shabiki anajua Arsenal kubeba kombe ni 30% inawezekana EPL tungepambana kwa nguvu zote tungeweza kupata nafasi ya Europa ona sasa kinachoenda kutokea tukikosa nafasi ya kutwaa kombe tutakuwa out of europe competition next season na kwa timu kama Arsenal itakuwa ni pigo kubwa kuanzia kwa mashabiki hadi wamiliki kwa miaka takribani 30 mfululizo tupo kwenye Europe competition leo hii tutagombania FA na Carabao pekee sababu EPL hatutaweza kulibeba na atakayekuwa ameweka rekodi ni Arteta
Namalizia kwa kukwambia haina haja ya kuweka dau inafahamika next season kwa kikosi hiki Arsenal haitakuwepo Top 10 narudia haitakuwepo Top 10 na msimu huu Leeds na Aston villa wakichanga karata vizuri Arsenal atamaliza nafasi ya 11 why not next season tukawa out of top 10 na kuanza kuwa bottom team?
 
Mzee huu muda mambo ya kurisk sijui upupu gani ni upumbavu wa hali ya juu kwa timu kama ya Arsenal. Unaweza kurisk pale ambapo kuna sehemu una uhakika na kitu fulani mfano Manchester United Manchester City Chelsea Liverpool hawafanyi mambo ya kutowarisk wachezaji wao sababu kila kikombe au kuna nafasi wanaitaka lazima wachezaji wapambane na pia sisi hata hiyo Europa hatuna uhakika nayo kila shabiki anajua Arsenal kubeba kombe ni 30% inawezekana EPL tungepambana kwa nguvu zote tungeweza kupata nafasi ya Europa ona sasa kinachoenda kutokea tukikosa nafasi ya kutwaa kombe tutakuwa out of europe competition next season na kwa timu kama Arsenal itakuwa ni pigo kubwa kuanzia kwa mashabiki hadi wamiliki kwa miaka takribani 30 mfululizo tupo kwenye Europe competition leo hii tutagombania FA na Carabao pekee sababu EPL hatutaweza kulibeba na atakayekuwa ameweka rekodi ni Arteta
Namalizia kwa kukwambia haina haja ya kuweka dau inafahamika next season kwa kikosi hiki Arsenal haitakuwepo Top 10 narudia haitakuwepo Top 10 na msimu huu Leeds na Aston villa wakichanga karata vizuri Arsenal atamaliza nafasi ya 11 why not next season tukawa out of top 10 na kuanza kuwa bottom team?
Villa unayemsema akichanga karata vizuri msimu uliopita alitakiwa kushuka daraja ni Arsenal kuwafunga Watford ndiyo kumewabakisha.

Timu yetu inahitaji watu kutoka na watu kuingia. Kelele za #Kroenkeout zinaweza prove positive. Hilo tutalipima kipindi cha usajili.

Mimi ninasema Arsenal itamaliza ndani ya top 6.
 
Villa unayemsema akichanga karata vizuri msimu uliopita alitakiwa kushuka daraja ni Arsenal kuwafunga Watford ndiyo kumewabakisha.

Timu yetu inahitaji watu kutoka na watu kuingia. Kelele za #Kroenkeout zinaweza prove positive. Hilo tutalipima kipindi cha usajili.

Mimi ninasema Arsenal itamaliza ndani ya top 6.

Hivi ni wewe au account yako ni hacked?
 
Villa unayemsema akichanga karata vizuri msimu uliopita alitakiwa kushuka daraja ni Arsenal kuwafunga Watford ndiyo kumewabakisha.

Timu yetu inahitaji watu kutoka na watu kuingia. Kelele za #Kroenkeout zinaweza prove positive. Hilo tutalipima kipindi cha usajili.

Mimi ninasema Arsenal itamaliza ndani ya top 6.
Mkuu Arsenal hii sisi wa kuingia kwenye top 6 kweli!!!!!!!!!!!!!
 
Siyo hii.

Ya msimu ujao.
Tangia aondoke wenger Arsenal kila msimu inashuka tutamaliza top 6 kama kocha na baadhi ya wachezaji hawatakuwepo but kama squad na kocha watakuwa ni hawa tunaowaona labda utume uchawi wako ulaya
 
Tangia aondoke wenger Arsenal kila msimu inashuka tutamaliza top 6 kama kocha na baadhi ya wachezaji hawatakuwepo but kama squad na kocha watakuwa ni hawa tunaowaona labda utume uchawi wako ulaya
Uchawi ningekua nao ningeutumia kuloga wizara ya ajira.

Uchawi sina.

Next season ni within top 6
 
Kocha hamna hapa Wenger angekuwepo kwa wachezaji hawa hawa angefika mbali,wenger keshakuwa na Chamack, frimpong,denilson, senderous,Almunia,Bendtner na hakuikosa champions league Arteta katumwa kuishusha Arsenal thamani ni suala la muda tu
Ila kweli kwa wachezaji hawa Wenger angefanya makubwa. Umesahau SANOGO
 
Back
Top Bottom