Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wacha ituuwe, tumeipenda wenyewe
FB_IMG_1609085462263.jpeg
 
Kwa comment yako imebidi nijibu,kweli kabisa Arsenal haijitambui na haijui itakacho that's the truth, Arteta katupa makombe 2 yes that's fine ila tangia aifundishe Arsenal kuanzia January 2020 hadi sasa February 2021,nafasi yake ya juu kwa Arsenal ni ya 8 kama viongozi hawana vision ,mimi kama shabiki kwa nini nipoteze hela zangu kibanda umiza kuangalia mechi za Arsenal?

Kocha bora mnayesema apewe muda katika mechi 23 kafungwa 10
Brother vipi hali??
 
Arteta hasn’t improved Arsenal, they are worse now than when under Emery - they were much more fun to watch them, they had firepower going forward. Arsenal are tighter defensively but they just don’t score. Also don’t understand the Smith Rowe hype.
Mkuu wakija wenye arsenal yao itakuwa balaa hapa ujue
 
Kama Aston villa tunashindwa kumfunga tuna next 3 matches vs Leeds ,City na Leicester (je tutamfunga nani?au tutajiandaa kurudi nafasi ya 15?)ukianzia game ya Wolves hadi ya Leicester hawa wote walitufunga.
Game inaendelea tusubiri 90 minutes
Hizo gemu zinazofuata mtabakwa bila huruma.
 
Arsenal kwa sasa itoshe kusema inatosha ,tunaishi kwa historia na kujiita Big 6 ila kiukweli hatuna utofauti na Southampton au Leeds United, hata hilo jina la Big 6 alitakiwa Leicester achukue nafasi yetu Trust me Arsenal ni historia imekuwa hata uefa atoe top 8 ya kufuzu Champions league basi hatutaipata hyo nafasi hii ndio Comment yangu ya mwisho ninapumzika kwenye hili jukwaa kwa muda usiojulikana
Tatizo la Arsenal ni kocha au wachezaji wake mpaka sasa hata humu hakuna anayejua tatizo ni nini na kwangu binafsi Arsenal sio timu kubwa au Big 6 ni kujidangaya kwa upumbavu wa kisenge
Nawaachia timu mashabiki wa Arsenal die hard fan ambao ukweli mnaujua ila kukubaliana na hali halisi hamuwezi
Wewe kidogo tutakuhurumia. Hawa vichwa ngumu waliobaki ngoja tuendelee kuwanyoosha.
 
Nakuunga mkono, hakuna kitu mle, angalia mfano Willian yeye pupupupu, kiukweli arsenal ni timu moja ya kipumbavu. Ona sasa imegawa point Sita kwa Aston villa
Mmeanza kumpaka matope. Tuliwapa bure huyo.
 
Back
Top Bottom