Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Niliwahi kueleza humu baada ya ushindi wa Liverpool dhidi ya Arsenal, nikieleza VAR tuliona itakuwa sehemu ya haki lakini ndio inazidi kufinya.

Unategemea VAR ikupatie matokeo sahihi huku imekaliwa na Mike Dean, Craig Pawson na mechi akichezesha Jon Moss?

Craig Pawson sio mara ya kwanza, amewahi kumtoa Coquelin kwa controversial red card na kutoa penalty. Southampton wao wamefika mbali na kudai referee aliyecheza mchezo wa Manchester United hawaitaji kumuona akichezesha michezo yao na kusema "Akipangwa kuchezesha sisi hatutopanga kikosi kucheza maana matokeo yatakuwepo tayari, PL itumie hayo hayo."

Hili suala la formation naona alifanya hivyo maana alimuondoa Lacazette na kuingia Gabriel. Wakasimama Hector, Rob, Gabriel na Cédric | Smith, Partey na Xhaka | Saka na Pepe nguvu imekata baada ya red card ya Leno.

Michael Oliver na Sian Massey-Ellis ndio waamuzi pekee waliobaki kwa Arsenal.
Haina shida tho timu ilipafom wachezaji walijitoa marefa wakaamua matokeo ya mechi. Jmosi ni game na Villa, tujipange.
 
Kikosi kinachoenda Europa kina kila unayemjua isipokua Runarsson na sababu ni inasemwa hana kiwango. Matt Macey alikua hapo miaka yote baada ya Martinez kuondoka akasajiliwa Alex na akawa mbele ya Macey.

Kisha Alex kacheza games kadhaa kaonekana ni kiazi inabidi atolewe kwa mkopo akajikomaze. DoF aliyefika ana kazi kiukweli. Makipa wa Academy wamejumuishwa ila aliyesajiliwa kutoka nje hajajumuishwa.

Hii inamaanisha kiwango chake ni kidogo kuliko waliokuepo academy and yet kuna pesa imetumika hapo.

Mat Ryan awe fit or else tupo matatizoni.
Matt Ryan asipokuwa fit mapema kuna siku tutanza na Gabriel au Chambers katika goli, ni wachezaji wenye uwezo wa kudaka.

Haina shida tho timu ilipafom wachezaji walijitoa marefa wakaamua matokeo ya mechi. Jmosi ni game na Villa, tujipange.
Wachezaji zikitokea hizi controversial wasimamie kauli referee aangalie katika VAR.
 
Matt Ryan asipokuwa fit mapema kuna siku tutanza na Gabriel au Chambers katika goli, ni wachezaji wenye uwezo wa kudaka.


Wachezaji zikitokea hizi controversial wasimamie kauli referee aangalie katika VAR.
Red imeonyeshwa dakika ya 45+2 na hapohapo VAR ikaconfirm ile ni red.
 
Kwa leo niseme 'yaliyopita yabaki huko, tuangalie mbele'. Kesho tujitahidi kumpiga Villa.
COYG
 
So tutamkosa Leno. Kipa atakua Runarrson, kama Ryan atakua sawa huu ni muda wake wa kuprove kiwango.

Betting companies bado hazina imani na Arsenal odds za Arsenal zimekua ni 2+ katika games nyingi. Hata hii game ya kesho Arsenal imegewa odds 2+ na kampuni nyingi ikishinda hii game.

Sofascore wanaonyesha kwa odds za 2.63 kwa Villa na 2.60 za Arsenal hua hizi timu zinashinda mechi nyingi ambazo wamewekewa hizo odss so hii inamaanisha yeyote anaweza kushinda.

Now kwa sisi timu yetuhatuna Leno, amekua akiufanya ukuta wetu kua mgumu mno. Hatuna Tierney, Auba n.k. so hizo odds na kulingana na matokeo yaliyopita na kwa mpira wao inamaanisha wengi wapo confident Arsenal atafungwa hii gemu.

Ila we have something left in our sleeves. Pepe anazidi kua mzuri, Saka is brilliant, Lacazette so hatuendi kinyonge, tunaenda knowing tuna uhakika wa kushinda and am confident we will. Westham katoka kumfunga Villa goli 2 so atakuja kutaka kubounce back but so are we.

Kila mmoja anakuja kulipa kisasi. Ni ishu ya nani anataka zaidi.
 
I think the team is up for the fight again lakini kiukweli haya maamuzi ukiyatanzama vizuri yanakuwa na propagated effect huko mbeleni pia.

Straight red card ya Luiz maana yake anakosa mechi tatu, ni ukweli pia kuwa straight red ya Leno ambaye naye atakosa mechi 3 ni matokeo ya ile red ya Luiz.

Kutokuwepo Luiz kunatunyima depth kwenye defence yetu wakati Leno ndio kipa namba 1 na tegemeo kwa Arsenal, in fact tumeadhibiwa kwa mechi 4 mfululizo.

Nilijipiga ban ya mechi mbili, lakini imenibidi nitoke kwenye ban ili kurekebisha upotoshaji katika hii post ya gspain. I always respect your contributions here, I think it my first time I challenge you. Sio kweli kwamba every straight red goes with a three match suspension, gspain, it depends on the gravity of the offense. Luiz will serve one match suspension, so is Leno. Tupo hapa kuelimishana
 
Nilijipiga ban ya mechi mbili, lakini imenibidi nitoke kwenye ban ili kurekebisha upotoshaji katika hii post ya gspain. I always respect your contributions here, I think it my first time I challenge you. Sio kweli kwamba every straight red goes with a three match suspension, gspain, it depends on the gravity of the offense. Luiz will serve one match suspension, so is Leno. Tupo hapa kuelimishana
Luiz atakosa mechi 1 pekee,ila ndugu zangu kesho tutakuwa na kikosi kikali sana but kipa kesho ni nani?
 
Nilijipiga ban ya mechi mbili, lakini imenibidi nitoke kwenye ban ili kurekebisha upotoshaji katika hii post ya gspain. I always respect your contributions here, I think it my first time I challenge you. Sio kweli kwamba every straight red goes with a three match suspension, gspain, it depends on the gravity of the offense. Luiz will serve one match suspension, so is Leno. Tupo hapa kuelimishana
Uko sahihi mkuu, si kila red card ina 3 match suspension kama ni dissent red card ni only two matches, including mechi husika.

Nikiri wakati natoa comment yangu, sikujiridhisha kama zilikuwa considered kama dissent fouls ama violent ones.
Asante kwa masahihisho mkuu mysterio
 
Here we go again

Kwa luiz anakaa gabi au Pablo

Kwa Leno Matty

Pepe likely to start. Ikitokea anakaa bench bas Auba ndan

Kama sio Odegard bas Rowe mwenyewe

Bukayo as usual

Partey na Xhaka.


Hii game tunaingia moto sana, baada ya kuzurumiwa points zetu kwa mbwea wale
Auba awe fit au la mimi naona Pepe aanze. Huyu Odegaard inabidi apate tu game time huku huku kwenye ligi, hatupo FA wala Carabao so haiwezekani kupretend kwamba ataangaliwa katika games less important pa kuangaliwa ni huku huku.
 
Hata baada ya kuchwa, bado mtamlaum Luiz kwa yaliyo tokea jana?

Ukiangalia replays zinaonesha ni Willian Jose ndiye aligonga goti la Luiz wakati anataka kushoot.

Technically hapakuwa na attempt yoyote from Luiz ya kufanya tackling whether intentionally or unintentionally.

Hata km ingekuwa ni technical foul bado Luiz hakustahili red card sabab hakuwa na nia ya kufanya hiyo foul.

Labda ninachokiona hapa Luiz anahukumiwa kwa historia na fans wa Arsenal (reputational judgement) lakini kwa issue ya jana tena kwa zama hizi za VAR nashangaa hakuna anayemlaumu refferee wala VAR official.

WE KENGE, UNABISHANA NA VAR!!! UNABISHANA NA REFA AMBAYE YUKO PALE KWENYE NYASI UWANJANI WAKATI WEWE UKO BUZA!!
AKILI ZA ARSENAL BHANA. MSOME ZILE KANUNI ZA MPIRA. "....akiwa katika nafasi ya kufunga goli umgonge kwa njia yoyote, bahati mbaya au makusudi adhabu haiepukiki"
 
Kwa leo niseme 'yaliyopita yabaki huko, tuangalie mbele'. Kesho tujitahidi kumpiga Villa.
COYG
UNAWEZA KUMPIGA VILLA WEWE, UMEMSAHAU BARKLEY KWENYE ZILE GOLI TATU?..NA LEO YUPO
 
WE KENGE, UNABISHANA NA VAR!!! UNABISHANA NA REFA AMBAYE YUKO PALE KWENYE NYASI UWANJANI WAKATI WEWE UKO BUZA!!
AKILI ZA ARSENAL BHANA. MSOME ZILE KANUNI ZA MPIRA. "....akiwa katika nafasi ya kufunga goli umgonge kwa njia yoyote, bahati mbaya au makusudi adhabu haiepukiki"
Sidhani kama naweza kukulaumu mkuu, nikitazama ID yako na kisha avatar vinatafakarisha. Yaan ARV uchanganye na bangi, I just feel sorry for you!!
 
WE KENGE, UNABISHANA NA VAR!!! UNABISHANA NA REFA AMBAYE YUKO PALE KWENYE NYASI UWANJANI WAKATI WEWE UKO BUZA!!
AKILI ZA ARSENAL BHANA. MSOME ZILE KANUNI ZA MPIRA. "....akiwa katika nafasi ya kufunga goli umgonge kwa njia yoyote, bahati mbaya au makusudi adhabu haiepukiki"
Sheria zilifanyiwa marekebisho sheria iliyoanza na msimu 20/21. Enaeleza

"Ikiwa ni mtu wa mwisho na akafanya faulo isiyo ya msingi/uungwana kama kumvuta, kumsukuma, kupiga mkasi (tackling), kumkwatua au kushika mpira kwa makusudi basi itawekwa penati na mhusika atapokea kadi nyekundu."

"Ikiwa mhusika alikuwa akicheza mchezo kiungwana na akikaba kwa nidhamu basi itakuwa penati na kadi ya njano, pia endapo hakuwa na dhumuni basi hali ya mchezo itaongeza kusudio na uwezekano wa penati kutolewa au lah!"

Kwenye kusudio ni mfano Arsenal inaongoza nne na itokee penati nyepesi basi itafinywa, ikiwa ni 2 - 0 na timu pinzani inaonesha uhai zaidi kuliko anayeongoza basi penati itawekwa pasi ya kadi.

Inategemea uzito wa faulo iliyochezwa sio sheria ya zamani ukiwa mtu wa mwisho haijalishi makusudi au bahati mbaya unapokea kadi nyekundu.
 
WE KENGE, UNABISHANA NA VAR!!! UNABISHANA NA REFA AMBAYE YUKO PALE KWENYE NYASI UWANJANI WAKATI WEWE UKO BUZA!!
AKILI ZA ARSENAL BHANA. MSOME ZILE KANUNI ZA MPIRA. "....akiwa katika nafasi ya kufunga goli umgonge kwa njia yoyote, bahati mbaya au makusudi adhabu haiepukiki"

Hizi ndizo takataka zilizozalishwa awamu hii
 
Back
Top Bottom