johrobby
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,066
- 2,252
Hahaahah Wewe Cheltako juzi tu tumekukalisha bao tatu, mnasahau haraka,next round unaukalia kama dawa.


kama ndo kombe lenu kutufunga ss n sawa jisifienHahaahah Wewe Cheltako juzi tu tumekukalisha bao tatu, mnasahau haraka,next round unaukalia kama dawa.


kama ndo kombe lenu kutufunga ss n sawa jisifienMkuuu unajua arsenal timu ipo EPL TU KUIFUNGA CHELSEA TU KWA TUCHEL HAWATUGUNGI JOHN TERRY TU KAWAFUNGUAkama ndo kombe lenu kutufunga ss n sawa jisifien
Futuhi bhnDah... Kuna kipindi cha Unai watu kabisa walikuwa wanaamini wana kikosi bora, lakini tatizo ni kocha
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app







Mid table ndio mafanikio yenu.Sisi kumgonga Cheltako nje ndani ndio ushindi wetu mkuu hahahaha
Kuna yule wanamuitaga Piere Alimiliki Albamu Yangu hivi hajacheza leo![]()










UnawakeraCavaniiiiiiiiiiiiiiView attachment 1696260





Hiyo timu yako Bila Panadol Hulali.Cheltako jiKazeni mtafika tu IPO siku
Partey anainamishwa adi na bakayoko
Mabroo tumezingua sana.
Tumepigwa hapaView attachment 1696255
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app





Koma.Willy Jr mfukuzeni huyu hana kifua kama mashabiki wa Arse8 halisi wanaojua utamu wa kufungwa.
Sent from my ONEPLUS A3010 using JamiiForums mobile app
Mkuu vp mbona hujaleta matokeo ya FT au gem iliishia HT?Brunoooo FernandezzzzzView attachment 1696269
Brunoooo FernandezzzzzView attachment 1696269
bando liliisha 




punda bana bek zenu zkcheza znatngsha makalio2 straika wanajpigia2Tuanzebe akaona mpakuane kizamu zamu.Hivi mnajua kua sisi ndio tuna miliki mwiko?
Maana yake, nyinyi pikenii sisi tutakuja kuwapakueni.
Karibuni OT muone Evaton anavyo pakuliwa.